S1773/0109/2009
New Member
- Aug 19, 2012
- 3
- 0
Niaje wadau? vp maresult ya dploma afya ymetoka yote?
Niaje wadau? vp maresult ya dploma afya ymetoka yote?
we jumanne hamisi huku hatufanyi registration na namba yako ya mtihani hapa sio tcu..
Huyo ni wapili kuna mwingine nae alikuja na No yake ya form 4, hawa ndo wale waliokuja kisa selection za UD, tena kuna mwingine kule Facebook anatoa taarifa na kuweka reference eti kwa mujibu wa blogs za Jamii4ram kweli mwaka huu kazi ipo
mwacheni atume pm kwa invisible ili abadili jina..
we jumanne hamisi huku hatufanyi registration na namba yako ya mtihani hapa sio tcu..