Dini,nafsi na utu wangu vitanisuta nikikubali

Yehova Yire= God the provider, mtii huyo na fuata maagizo yake tu.
Tafuteni kwanza ufalme wa mbinguni, mengine yote mtazidishiwa.
 
Dahhh
Pole sana mkuu.
Nnachotaka kusema ni kwamba
Kama kweli huyo mmama ana nia nzuri
Kwako angekusaidia bila kutaka something
In return.. au agekupa option ambayo wote
Mnaikubali..

Anyway , you are your own boss. .
Last decision comes from you. .
Think first. Take care , be safe .....
 
Dahhh
Pole sana mkuu.
Nnachotaka kusema ni kwamba
Kama kweli huyo mmama ana nia nzuri
Kwako angekusaidia bila kutaka something
In return.. au agekupa option ambayo wote
Mnaikubali..

Anyway , you are your own boss. .
Last decision comes from you. .
Think first. Take care , be safe .....

Are you religious?
 
I'm Christian and I don't belong in any religion ..

Are you religious?

Very funny! Christianity is a religion my friend.

I think, what you wanted to say was you are a non-denominational Christian. But you can't say you are a Christian but you don't belong to any religion. Got it?

No, I am not religious.
 
You and the said woman are both sick...if you were well, you would know what to do and not bring this to the JF
 
Very funny! Christianity is a religion my friend.

I think, what you wanted to say was you are a non-denominational Christian. But you can't say you are a Christian but you don't belong to any religion. Got it?

No, I am not religious.

your just trying to use
Complicated words to describe
Christianity.. I'm gonna stick to what I said before ..
 
your just trying to use
Complicated words to describe
Christianity.. I'm gonna stick to what I said before ..

AD, don't be so hardheaded. Christianity is a religion that is based on the teachings of Jesus Christ. Therefore, you can't say you are a Christian but you don't belong to any religion.

If you stick to what you said earlier then you are wrong. And I haven't used any big words to describe Christianity.
 
swali hiyo kanga moja unamkuta nayo wapi? Nahisi kama tayari ushambinjua kwa mbele sasa anataka umbinje na upande mwingine. LOL
Maswali yenye majibu yake tayari, huitwa "Kitendawili"
 
ANACHOKITAKA NIFANYE NAYE KINYUME CHA MAUMBILE na nikikubali hilo atanipatia sehemu ya tenda yake ya kusupply nyama kwenye hotel na hospital flani flani. Je nifanyeje na binafsi sitaki kufanya mapenzi nae japo biashara anayonieleza nimeanza kuona uzuri wake?
yani ww mpaka umekuja hapa uko ktk hatihati ya kufanya ilo tukio mana ungekua mwanaume rijali anayeheshimu maamuzi yake ungeshamjibu kua hutaki na wala usingeleta huku jf hii upuuzi yako........mana inaonekana akitokea mtu akikupampu utafanya bisha?
cpendi wanaume wa ivi wasioweza kusimamia maamuzi yako once wakipata matatizo mana ww inaonekana uko dilema na kwann uwe ivo kama hupendi na dini yako yakusuta loh!
na log off by washawasha
 
ANACHOKITAKA NIFANYE NAYE KINYUME CHA MAUMBILE na nikikubali hilo atanipatia sehemu ya tenda yake ya kusupply nyama kwenye hotel na hospital flani flani. Je nifanyeje na binafsi sitaki kufanya mapenzi nae japo biashara anayonieleza nimeanza kuona uzuri wake?
yani ww mpaka umekuja hapa uko ktk hatihati ya kufanya ilo tukio mana ungekua mwanaume rijali anayeheshimu maamuzi yake ungeshamjibu kua hutaki na wala usingeleta huku jf hii upuuzi yako........mana inaonekana akitokea mtu akikupampu utafanya bisha?
cpendi wanaume wa ivi wasioweza kusimamia maamuzi yako once wakipata matatizo mana ww inaonekana uko dilema na kwann uwe ivo kama hupendi na dini yako yakusuta loh!
na log off by washawasha

Najiheshimu na pamoja na biashara zake bado hana ushawishi wa kuniweka dilema.Nimemwambia mapenzi kwa sasa sipendelei na namuheshimu sana japo yeye hatambui hilo.
 
swali hiyo kanga moja unamkuta nayo wapi? Nahisi kama tayari ushambinjua kwa mbele sasa anataka umbinje na upande mwingine. LOL
Maswali yenye majibu yake tayari, huitwa "Kitendawili"

Hapana narudia tena hapana.Si muda mrefu nimemjua na kiumri mbali kaniacha.
 
Yehova Yire= God the provider, mtii huyo na fuata maagizo yake tu.
Tafuteni kwanza ufalme wa mbinguni, mengine yote mtazidishiwa.

Hiyo ni nguzo muhimu ilonifanya kuwa na maadili mema.Najiheshimu na bora nikose biashara nae kuliko niendekeze Ujinga na Upuuzi.
 
Mungu anakupima hapo ktk mafanikio yako je utenda kinyume na maadilli na hata amri zake? ukiweka tamaa mbele ni wazi utamuudhi hata muumba wako ilopo kataa na hata akikunyima hiyo tnda hajakukata mikono wala miguu Mungu bado atakuonyesha sehemu yenye maslahi zaidi pls kuwa mwangalifu

Ahsante saana kwa ushauri mzuri.Naahidi kuufanyia kazi.
 
Hivi ndivyo vishawishi unavyopaswa kuvishinda katika maisha. Hakuna raha kama kufaidi 'matunda' uliyoyapata katika njia 'iliyonyooka'. Hekima ikutawale
 
Back
Top Bottom