Mjanga
JF-Expert Member
- Feb 13, 2011
- 1,238
- 324
:A S 465:Leo muda wa kuanzia saa nne usiku kuna mdahalo unaendelea Channel Ten,
kwa \title "SAKATA LA MADAKTARI, hoja iliyojengwa na ASKOFU
Gamanywa kuwa "wanajaribiwa na SHETANI" je madai haya yanaukweli kiasi gani?
au ndo yale yale ya MABEBERU kutumia dini kututawala na kutukandamiza,
je huyu askofu ana uhusiano gani na ""chama twawala" au ndo wametumika kueneza mgandaimizo wa CCM?
Je ni wakati wa madaktari kupewa nasaha na hawa viongozi???
kwa mtindo huu DANGANYIKA yenye maisha bora kwa kila mdanganyika litafikiwa??
kwa \title "SAKATA LA MADAKTARI, hoja iliyojengwa na ASKOFU
Gamanywa kuwa "wanajaribiwa na SHETANI" je madai haya yanaukweli kiasi gani?
au ndo yale yale ya MABEBERU kutumia dini kututawala na kutukandamiza,
je huyu askofu ana uhusiano gani na ""chama twawala" au ndo wametumika kueneza mgandaimizo wa CCM?
Je ni wakati wa madaktari kupewa nasaha na hawa viongozi???
kwa mtindo huu DANGANYIKA yenye maisha bora kwa kila mdanganyika litafikiwa??