Radhia Sweety
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,434
- 1,765
Nimekuwa msikilizaji wa Leo Tena ya Clouds Fm tangu kipindi cha marehemu Amina Chifupa.
Najaribu kumsikiliza huyu sijui anajiita Da Hu na kina Musa Hussein. Kiukweli hata sielewi wanatangaza au wanabwabwaja.
Leo Tena kimekuwa ni kipindi kisicho na mvuto wala mwelekeo. Mpangilio wa nyimbo ovyo, makelele tu mwasho mwisho, watu kubishana tuu kama mitoto ya chekechea bwana.
Clouds hata kama huwa mnajisifia eti kwenu hakuna mtangazaji atakayejifanya star, ni ukweli usiyo na shaka yoyote Dina Marios ndiye mtangazaji pekee aliyeweza kukimudu hicho kipindi.
Najaribu kumsikiliza huyu sijui anajiita Da Hu na kina Musa Hussein. Kiukweli hata sielewi wanatangaza au wanabwabwaja.
Leo Tena kimekuwa ni kipindi kisicho na mvuto wala mwelekeo. Mpangilio wa nyimbo ovyo, makelele tu mwasho mwisho, watu kubishana tuu kama mitoto ya chekechea bwana.
Clouds hata kama huwa mnajisifia eti kwenu hakuna mtangazaji atakayejifanya star, ni ukweli usiyo na shaka yoyote Dina Marios ndiye mtangazaji pekee aliyeweza kukimudu hicho kipindi.
Last edited by a moderator: