Nasikiliza clouds fm dina marios anauliza watu wanapenda harufu gani mbaya...wengine wanasema wanapenda harufu ya uke,,kinyesi, petroli na kadharika...mimi najiuliza hii inafaida gani kwenye jamii? Hawa wasichana nadhani wamechanganyikiwa.....na asitokee mtu hata mmoja aniambia niache kusikiliza clouds...radio ni kioo cha jamii...
harufu ya uke ni PLEASANT bwanaaaaaa!!! mie mwanamke asiye - emit such aroma is less likely to attract me!!!
si unamcheki hata ng'ombe anavyojisevia aroma kabla ya kuanza kitendo?
mie kuna colleague yangu wakati tuko university alikuwa anampigia simu girlfriend wake(who is now his wife) ambaye alikuwa anakuja kumtembelea during weekend na kumwambia "kiache kivundeeeeee!!!" au "ukija kiwe kimewiva!!".... the woman was not washing then 3 days prior to visit day!!!!!
tehetehetehet!!!!!!!!
kuna demu nilikaa nae kwenye daladala jana full kusmell harufu ya condom,ilikuwa karha tupu!mpaka akawa anajishtukia,
jinga ungelinasa vibao. Shwaini!
Yaani Tanzania tungeingia vitani..tuchapane kwanza ndio tuanze maisha upya ingekua safi sana!
Tuchapane kwa sababu gani?