Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Kuna dili la uhakika nililodekezewa na marafiki zangu wa maana na wenye wadhifa kuwa serikali ya South sudan inatafuta watanzania educated waende wakashike wadhifa mkubwa kwenye sekta mbali mbali kama TRA ya kule n.k…..kama mwenye kuhitaji aniandikie private message….changamkieni dili wakulu.