Dilemma

Ijuganyondo

Member
Jan 13, 2011
62
1
Wanajamii naombeni mnishauri nifanyeje,kuna msichana mmoja nilikuwa nampenda previously but baadae tulihitilafiana nikamtema na nikampata nnae mpenda saaana.Sasa huyu wazamani anacomplain sana na anadai hajawahi kumpenda mwanaume kwa kias alichonipenda mimi na ni kweli maana tangu tuachane 2years ago wanaume kibao wamemtokea na nina evidences lakin kawatosea,so nifanyeje wakati me nampenda zaid yule mwingine??help me please a'm starving!
 
huzuni mpaka basi,kama humpendi usiendelee kumuumiza mwache tu baada ya muda atarudi katika hali ya kawaida
 
Mwambie ukweli tu kwamba haiwezekani na wasichana wengine wana moyo duh miaka 2 badoo tuu!
 
Sasa tatizo liko wapi hapo???Kama umemwambia humtaki na una mtu wako achana nae!!!Atachoka mwishowe atasonga mbele!!!!
 
Hw can you prove it,,ulishawahi ingia moyoni mwake? ukajua kuwa ni true love??
 
Namuunga mkono huyo msichana aliyeachwa; ki kanuni ni vema ukiachwa/achana na mpenzi wako usikurupuke kuingia kwenye uhusiano mpya, vuta subira angalau hata mwaka. Ukifanya pupa unaweza amua kwa hasira ya kutaka kumuonyeshea ulieachana nae badala ya kutafuata penzi la kweli( ingawa ni vigumu kujua kuwa hapa ndio penzi la kweli, lakini inasaidia kufanya maamuzi sahihi ukiwa umetulia)
 
Namuunga mkono huyo msichana aliyeachwa; ki kanuni ni vema ukiachwa/achana na mpenzi wako usikurupuke kuingia kwenye uhusiano mpya, vuta subira angalau hata mwaka. Ukifanya pupa unaweza amua kwa hasira ya kutaka kumuonyeshea ulieachana nae badala ya kutafuata penzi la kweli( ingawa ni vigumu kujua kuwa hapa ndio penzi la kweli, lakini inasaidia kufanya maamuzi sahihi ukiwa umetulia)
yah, ni kweli kabisa.

yaelekea alifanya maamuzi kwa hasira akatumbukia kwenye mapenzi na binti mwingine ambaye hata hivyo haamini kama anapendwa kwa dhati na huyo binti, "sred yake ya jana"
 
Jamani mapenzi yananitatizaaa eehhh Jamani mapenzi yananitatizaaa eehhh kulala siwezi, kula siwezi chakula nakiona sumuuuu!!!! Hapo chacha
 
Namuunga mkono huyo msichana aliyeachwa; ki kanuni ni vema ukiachwa/achana na mpenzi wako usikurupuke kuingia kwenye uhusiano mpya, vuta subira angalau hata mwaka. Ukifanya pupa unaweza amua kwa hasira ya kutaka kumuonyeshea ulieachana nae badala ya kutafuata penzi la kweli( ingawa ni vigumu kujua kuwa hapa ndio penzi la kweli, lakini inasaidia kufanya maamuzi sahihi ukiwa umetulia)

upo sahihi kabisa. Tena bora awe na huyo aliyemuacha maana anaweza kujifunza kumpenda kuliko aende kwa huyo mpya akute ni kasheshe na songombingo.
Hebu aangalie sababu zinazomfanya asimpende. Jamani msipende kuumizana. Mi nakupenda we hutaki!! Lol!
 
kama umpenda sasa naye anakupenda..
walahata usiangalie nyuma...
thats life and life is misty..

lakini kama umependae sasa hakupendi
hapo anza kuwa faster faster...
 
Back
Top Bottom