PingPong
JF-Expert Member
- Dec 21, 2008
- 926
- 160
salamu wakuu, naomba mnijuze kuhusu hii digrii ya udaktari wa binadamu, je ina classes? maana nyingine huwa nasikia kuwa kuna lower class, first class etc, sasa hii digrii ina haya mambo? kwa mujibu wa baadhi ya watu wanadai hii digrii haina huo mchanganuo, kama ni kweli, ni kwa nini? naomba mnitoe gizani waungwana.