Kuna wakati ilisikia kwamba kuna mpango wa kuanzisha digital tv Tanzania. Kuna mwenye habari za maendeleo ya mchakato huo?
<br /><span style="font-family: comic sans ms"><font size="3"><font color="#ff0000"><b>Mradi mwengine wa Kifisadi unakuja, Mradi huo kuna Kigogo wa Magamba yupo nyuma yake</b></font></font></span>
AAAAAAAAAAh Mkuu mbona hiyo imeanza kufanya kazi siku nyingi? Hujawahi kusikia decoda za Startimes za TBC na Decoda za TING za ATN? Hawa ndo waliopewa vibali na TCRA kuanzisha Digital TV ambapo wengine watanunua air waves kutoka kwao. Kama bado hujanuanua hizo decoda na unaendelea kutumia antena za chadema basi ujue kuwa unapata masafa kupitia mitambo ya analogue ambayo kisheria itazimwa mwaka 2012 na hutaweza kupata hata channel 1 kwa antena ya chadema. Hivyo nunua decoda yako mapema.
AAAAAAAAAAh Mkuu mbona hiyo imeanza kufanya kazi siku nyingi? Hujawahi kusikia decoda za Startimes za TBC na Decoda za TING za ATN? Hawa ndo waliopewa vibali na TCRA kuanzisha Digital TV ambapo wengine watanunua air waves kutoka kwao. Kama bado hujanuanua hizo decoda na unaendelea kutumia antena za chadema basi ujue kuwa unapata masafa kupitia mitambo ya analogue ambayo kisheria itazimwa mwaka 2012 na hutaweza kupata hata channel 1 kwa antena ya chadema. Hivyo nunua decoda yako mapema.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Baadhi ya tv zinayo uwezo wa kureceive digital transmission bila kutumia decoder,ajabu hata hiyo tbc ambayo ndio tv ya taifa haipatikani.
<br /><font size="4"><br />
Maelezo yako ni sawa lakini kwenye Nyekundu kuna marekebisho kidogo.<br />
Star Tv na ITV hawako TING wala STAR TIMES watakuja na decoder yao.<br />
Lakini pia wasambazaji wa cable wanaweza kuendelea kutoa huduma hata baada ya mitambo ya analog kuzimwa 2012 kwani wao wanaweza kuwa na decoder hizo na kuendelea kuuza channel kama kawa.</font>
AAAAAAAAAAh Mkuu mbona hiyo imeanza kufanya kazi siku nyingi? Hujawahi kusikia decoda za Startimes za TBC na Decoda za TING za ATN? Hawa ndo waliopewa vibali na TCRA kuanzisha Digital TV ambapo wengine watanunua air waves kutoka kwao. Kama bado hujanuanua hizo decoda na unaendelea kutumia antena za chadema basi ujue kuwa unapata masafa kupitia mitambo ya analogue ambayo kisheria itazimwa mwaka 2012 na hutaweza kupata hata channel 1 kwa antena ya chadema. Hivyo nunua decoda yako mapema.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Hebu tuwekee wazi hizo tv ambazo zinapokea mawimbi ya digital bila decoder mkuu nasi tufaidike nazo.
Kuna wakati ilisikia kwamba kuna mpango wa kuanzisha digital tv Tanzania. Kuna mwenye habari za maendeleo ya mchakato huo?
Asante. Hivyo ving'amuzi vinauzwa kiasi gani?
Jana Kikwete ndio kaizindua rasmi.Kuna wakati ilisikia kwamba kuna mpango wa kuanzisha digital tv Tanzania. Kuna mwenye habari za maendeleo ya mchakato huo?
<br />Je na sisi tunaotumia satelite dish na receiver tutaathirika na hayo mabadiliko mwaka 2012?