Wed
JF-Expert Member
- Mar 7, 2011
- 315
- 266
Baada ya kushindwa uchaguzi Mkuu, CCM sasa yaamua Kutoana macho huko Dodoma. Hebu jiulize :
1/ Kama kweli CCM ilishinda uchaguzi Mkuu mbona sasa wananyoosheana vidole na kupigana huko Dodoma ?
2/ Kama kweli timu ya Makamba iliweza kushinda uchaguzi na kumrudisha Kikwete madarakani mbona Makamba anafukuzwa pamoja na kuvunjwa kwa Kamati Kuu na Secretarieti Kuu kwa kile wanachokiiata wenyewe Utovu wa "Nithamu na Maadil" wakati wengine wakiita kujivua "Magamba" /au/ Makamba ?? (ha ha ha)
2/ Kama kweli CCM ilishinda umea wa jiji la Arusha kwa kuwa na Quoram inayohitajika : mbona wameshindwa sasa kupitisha bajeti ya jiji la Arusha kwa kudai ati hawana quorum ya kutosha kwa sababu CDM wamesusia ushiriki ??
Je, quorum waliyokuwa nayo yakumchagua meya, sasa imekwenda wapi ???? Kama wanayo, siwapitishe bajeti ??
Hivi kweli CCM inathani watanzania ni wajinga kiasi hicho ??
Nimesikia huko Dar, CCM imekokotoa watoto na kuwajaza kwenye ukumbi ili wawazomee wachangiaji !!!! Kule Libya Gadafi naye amelipa mamluki wampiganie ili abaki madarakani. Haya sasa Nani anavunja amani Tanzania ?? Tusubiri tena kudanganywa kwamba ati CHADEMA ndo wanaovuja amani. Ha ha ha, hapa .... Mimi nasubiri
YouTube - Viongozi wa CCM wanajipanga upya yasababisha wengine kuachia ngazi
1/ Kama kweli CCM ilishinda uchaguzi Mkuu mbona sasa wananyoosheana vidole na kupigana huko Dodoma ?
2/ Kama kweli timu ya Makamba iliweza kushinda uchaguzi na kumrudisha Kikwete madarakani mbona Makamba anafukuzwa pamoja na kuvunjwa kwa Kamati Kuu na Secretarieti Kuu kwa kile wanachokiiata wenyewe Utovu wa "Nithamu na Maadil" wakati wengine wakiita kujivua "Magamba" /au/ Makamba ?? (ha ha ha)
2/ Kama kweli CCM ilishinda umea wa jiji la Arusha kwa kuwa na Quoram inayohitajika : mbona wameshindwa sasa kupitisha bajeti ya jiji la Arusha kwa kudai ati hawana quorum ya kutosha kwa sababu CDM wamesusia ushiriki ??
Je, quorum waliyokuwa nayo yakumchagua meya, sasa imekwenda wapi ???? Kama wanayo, siwapitishe bajeti ??
Hivi kweli CCM inathani watanzania ni wajinga kiasi hicho ??
Nimesikia huko Dar, CCM imekokotoa watoto na kuwajaza kwenye ukumbi ili wawazomee wachangiaji !!!! Kule Libya Gadafi naye amelipa mamluki wampiganie ili abaki madarakani. Haya sasa Nani anavunja amani Tanzania ?? Tusubiri tena kudanganywa kwamba ati CHADEMA ndo wanaovuja amani. Ha ha ha, hapa .... Mimi nasubiri
YouTube - Viongozi wa CCM wanajipanga upya yasababisha wengine kuachia ngazi