mkono mtupu haulambwi...gonga like hapo..
au ni pm unipe matumaini
ilikua mwaka jana...umesahau?
ilikua mwaka jana...umesahau?
Sikumbuki ulitumia ID nyingine au
Kuna thread nilituma ktk jukwaa flani...ukaniambia utakula ban...baada ya dakika 2...nakuta ban yenye ujumbe wa
umefungiwa miezi 3
nawe kwa visa..