Did Mwalimu die a natural death?

Duh nimepakua uzi woote huu tangia saa moja ndio nimemaliza sasahivi saa nne nimejifunza kitu,hakuna wakumuamini duniahiibzaidi ya mungu na mamayako tu
 
Dude, why would you wanna speculate on Mwalimu's death at all?

Are you in possession of any factual information that has hereto remained hidden from every single individual, including Mwalimu's own wife, his many children, extended family and clan? Why not elaborate any particular reasons you may have for refusing to believe the official version surrounding Mwalimu's death?
Hahaha..i love ur presentation dude
 
mambo makubwa hayo...safari ya wakulu kuukwea ufalme inaweza ikawa imejeruhi wengi!!!!
hii topic ina mengi kuliko inavyotaka kuchakachuliwa haraka na baadhi ya watu ambao pengine wanahusika na hili swali....kama huna jibu kwa nini usisome majibu ya wengine kuliko ku-play down the question!!!
Saaaaaaana I have seen delibarate efforts to downplay the question! Wanatumia Nguvu nyingi sana,Its a valid question!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Did dereva die a natural death? As if we know which mwalimu you are talking about. But anyways... If you doubt then prove them wrong by giving evidence to justify your doubts.
 
Mwalimu Nyerere alianza kusigana na utawala wa Mkapa mara tu ya kuwepo kwa hoja ya kuiuza NBC kwa makaburu.Ilivyotokea ni kwamba Mwalimu aliwaita Gavana wa BOT (wakati huo akiwa Idris Rashid),Waziri wa Fedha na wasaidizi wengine wa mambo ya Finance ili kupata ukweli wa suala hilo.Hawakuudhuria mwito huo ndipo alipomtuma msaidizi wake Bw.Batao kumwita Mkurugenzi wa NBC wakati huo Bw. Kimori kwenda Msasani na wakati wa kikao hicho,Mkurugenzi huyo alimweleza Mwalimu ni jinsi gani serikali ingefanya makosa makubwa kuiuza NBC ingali kwamba serikali inapokuwa na uhaba wa fedha za kuendesha mambo katika idara nyeti kama Jeshi na Usalama wa Taifa ilikuwa inachukuwa fedha toka katika Benki hii.

Alimweleza mengi kiasi kwamba Mwalimu alishusha pumzi na kusema "kumbe nimewasomesha wataalamu wazuri hapa eeh!".Mwalimu akamuaga mkurugenzi huyu na kumshukuru kwa taarifa hiyo.Baada ya hapo Mwalimu aliomba kuonana na Rais Mkapa kule Msasani baada ya kumaliza shughuli zake ikulu.Mkapa alipelekewa taarifa hiyo na kujibu kwa kifupi tu "Ok...nimesikia"Mkapa hakutimiza hilo haraka ila alisubiri kwa siku moja.siku aliyokwenda msasani jioni alikuwa amelewa na hata ilikuwa ni kazi ya ziada kushuka kwenye gari kwani mpambe wake Kanali George simule na walinzi walipata kibarua cha kuhakikisha kwamba hakuna aibu ingetokea.Alifika sitting room na kukaa.Mwalimu aliposhuka toka katika chumba chake cha kulala aliiona hali ile ya Mkapa ilivyo.Hakusubiri kitu na hakuongea chochote na alirudi alikotoka.Hali hii ilifanya waliokuwepo kupata wakati mgumu licha ya kwamba Mama Maria kujaribu kumshawishi mumewe kuzungumza na ugeni ule...Mwalimu aligoma.

Asubuhi ya siku iliyofuata aliomba aonane na Kadinari Pengo.Mwalimu alikuwa akiheshimu sana viongozi wa dini hivyo alikwenda yeye ofisini kwa Pengo na hakutaka kadinari aende nyumbani kwake.Alpoingia ofisini kwa kadinari,kwa jinsi Mwalimu alivyokuwa na kawaida ya tabasamu na ucheshi wa hapa na pale,siku hiyo hata Pengo alishangaa kwa jinsi hali ya Mzee ilivyokuwa.Ilibidi kuwaomba radhi watu wengine waliokuwa mle ofisini kutoka na Mwalimu kubakia na mlinzi mmoja na kadinari namsaidizi wake mmoja.

mwalimu alianza kumweleza Pengo nia ya ujio wake na mambo aliyoelezwa na jitihada zake za kutaka kuzungumza na Mkapa juu ya suala hilo.Alipofika hapo Mwalimu alishindwa kuvumilia na kutoa machozi.."yaani leo Ben ananijia mimi amelewa??..mimi?" akamtazama Msaidizi wa Pengo huku macho yamejaa machoziakamwambia "Kamuulizeni nimemkosea nini Mimi kunifanyia hivyo?".Kwa jibu fupi lakini zito na huku amesononeka Pengo akasema "Mwalimu...nitalifanya hilo personally"...Baada ya hapo walipoona hali ya Mwalimu imekuwa ya kawaida baada ya kulitoa dukuduku lake,Mwalimu alimuomba radhi Pengo kwa hali ile na kuomba ruhusa kuondoka.

Ujumbe ulimfikia Mkapa kupitia kwa Pengo na hili alilifanya kama kiongozi wa kiroho.lakini bado katika hali ya kushangaza Mkapa hakwenda tena nyumbani kwa Mwalimu kumuona.

Wiki hiyo hiyo mwalimu baada ya kutoka kanisani kanisa la St Peter Oysterbay alikwenda nyumbani kwake Msasani na baadya ya kifungua kinywa alimwambia msaidizi wake kuwa anahitaji kwenda ikulu mara moja....

JE BAADA YA KUFIKA IKULU NINI KILIENDELEA?...KWA NINI MWALIMU ALIENDA BILA MIADI NA OFISI ILE? NA KWA NINI ALIENDA BILA KING'ORA NA GARI LA WALINZI TU? TUWE NA SUBIRA...
3.KIZAA ZAA NDANI YA IKULU
Katika msafara ule ni watu wachache waliofahamu ujio wa Mwalimu Ikulu.Wakati Mwalimu anafika nje wa viwanja vya Ikulu,Mkapa alikuwa na wageni kutoka shirika la Oxfam la Uingereza ikiwa ni moja ya shughuli zilizokuwa kwenye ratiba ya rais kwa siku ile.Hivyo kwa kipindi hicho anawasili Mwalimu mazungumzo ya Mkapa na ugeni wake yakiendelea ndipo alipofuatwa na mmoja wa makatibu wa Rais na kumnong'oneza juu ya kuwepo kwa Mwalimu pale ikulu kitu kilichomfanya Mkapa kuomba radhi kwa wageni wake na kutoka kwa haraka na kumfuata Mwalimu katika Private Office ya rais(OBR 1).Baada ya salamu tu Mwalimu aliomba kuwa na mazungumzo ya faragha na Rais hivyo walibaki tu wale wanaoruhusiwa na itifaki kuwepo katika mazungumzo ya aina hiyo.

Inasemekana katika maisha ya serikalini siku hiyo mwalimu alikuwa ni mkali sana.Alimweleza sehemu alizopita na kuzungumza suala hili na kutaka kujua sababu za Mkapa kumdharau kiasi hicho na isitoshe pamoja na ujumbe toka kwa kardinari Pengo bado alionyesha kutokujali wito wa Nyerere.Inasemekana Mkapa wakati wote wa mazungumzo hayo alikuwa kimya na kujibu kwa uchache sana maswali ya Nyerere tena kwa kutazama chini na kila wakati kujifuta jasho pamoja na viyoyozi vilivyokuwepo.Mwisho wa mazungumzo yale Mwalimu alimweleza Mkapa,

"Ben ! umenidhalilisha sana,umenisaliti...sijui nitaweka wapi uso wangu"...sasa nasema hivi maliza kiporo chako hiki ukapumzike...tumpate mtu serious hapa..!" Alimaliza kuzungumza akiwa tayari wima na kutoka nje ya ofisi ile.Kwenye korido za ikulu mwalimu alionekana akitembea kwa haraka kuelekea nje tayari kupanda gari lake na hakusalimiana na yeyote wala kuzungumza lolote zaidi ya kutoa ishara ya kupunga mkono kwa waliokuwa wakimsalimia.
Alirudi Msasani akionekana kuwa na mawazo na macho kuwa mekundu,nywele kuwa katika hali ya kuvurugika kiasi fulani....
mh mbona makubwa
 
Mwalimu Nyerere alianza kusigana na utawala wa Mkapa mara tu ya kuwepo kwa hoja ya kuiuza NBC kwa makaburu.Ilivyotokea ni kwamba Mwalimu aliwaita Gavana wa BOT (wakati huo akiwa Idris Rashid),Waziri wa Fedha na wasaidizi wengine wa mambo ya Finance ili kupata ukweli wa suala hilo.Hawakuudhuria mwito huo ndipo alipomtuma msaidizi wake Bw.Batao kumwita Mkurugenzi wa NBC wakati huo Bw. Kimori kwenda Msasani na wakati wa kikao hicho,Mkurugenzi huyo alimweleza Mwalimu ni jinsi gani serikali ingefanya makosa makubwa kuiuza NBC ingali kwamba serikali inapokuwa na uhaba wa fedha za kuendesha mambo katika idara nyeti kama Jeshi na Usalama wa Taifa ilikuwa inachukuwa fedha toka katika Benki hii.

Alimweleza mengi kiasi kwamba Mwalimu alishusha pumzi na kusema "kumbe nimewasomesha wataalamu wazuri hapa eeh!".Mwalimu akamuaga mkurugenzi huyu na kumshukuru kwa taarifa hiyo.Baada ya hapo Mwalimu aliomba kuonana na Rais Mkapa kule Msasani baada ya kumaliza shughuli zake ikulu.Mkapa alipelekewa taarifa hiyo na kujibu kwa kifupi tu "Ok...nimesikia"Mkapa hakutimiza hilo haraka ila alisubiri kwa siku moja.siku aliyokwenda msasani jioni alikuwa amelewa na hata ilikuwa ni kazi ya ziada kushuka kwenye gari kwani mpambe wake Kanali George simule na walinzi walipata kibarua cha kuhakikisha kwamba hakuna aibu ingetokea.Alifika sitting room na kukaa.Mwalimu aliposhuka toka katika chumba chake cha kulala aliiona hali ile ya Mkapa ilivyo.Hakusubiri kitu na hakuongea chochote na alirudi alikotoka.Hali hii ilifanya waliokuwepo kupata wakati mgumu licha ya kwamba Mama Maria kujaribu kumshawishi mumewe kuzungumza na ugeni ule...Mwalimu aligoma.

Asubuhi ya siku iliyofuata aliomba aonane na Kadinari Pengo.Mwalimu alikuwa akiheshimu sana viongozi wa dini hivyo alikwenda yeye ofisini kwa Pengo na hakutaka kadinari aende nyumbani kwake.Alpoingia ofisini kwa kadinari,kwa jinsi Mwalimu alivyokuwa na kawaida ya tabasamu na ucheshi wa hapa na pale,siku hiyo hata Pengo alishangaa kwa jinsi hali ya Mzee ilivyokuwa.Ilibidi kuwaomba radhi watu wengine waliokuwa mle ofisini kutoka na Mwalimu kubakia na mlinzi mmoja na kadinari namsaidizi wake mmoja.

mwalimu alianza kumweleza Pengo nia ya ujio wake na mambo aliyoelezwa na jitihada zake za kutaka kuzungumza na Mkapa juu ya suala hilo.Alipofika hapo Mwalimu alishindwa kuvumilia na kutoa machozi.."yaani leo Ben ananijia mimi amelewa??..mimi?" akamtazama Msaidizi wa Pengo huku macho yamejaa machoziakamwambia "Kamuulizeni nimemkosea nini Mimi kunifanyia hivyo?".Kwa jibu fupi lakini zito na huku amesononeka Pengo akasema "Mwalimu...nitalifanya hilo personally"...Baada ya hapo walipoona hali ya Mwalimu imekuwa ya kawaida baada ya kulitoa dukuduku lake,Mwalimu alimuomba radhi Pengo kwa hali ile na kuomba ruhusa kuondoka.

Ujumbe ulimfikia Mkapa kupitia kwa Pengo na hili alilifanya kama kiongozi wa kiroho.lakini bado katika hali ya kushangaza Mkapa hakwenda tena nyumbani kwa Mwalimu kumuona.

Wiki hiyo hiyo mwalimu baada ya kutoka kanisani kanisa la St Peter Oysterbay alikwenda nyumbani kwake Msasani na baadya ya kifungua kinywa alimwambia msaidizi wake kuwa anahitaji kwenda ikulu mara moja....

JE BAADA YA KUFIKA IKULU NINI KILIENDELEA?...KWA NINI MWALIMU ALIENDA BILA MIADI NA OFISI ILE? NA KWA NINI ALIENDA BILA KING'ORA NA GARI LA WALINZI TU? TUWE NA SUBIRA...
3.KIZAA ZAA NDANI YA IKULU
Katika msafara ule ni watu wachache waliofahamu ujio wa Mwalimu Ikulu.Wakati Mwalimu anafika nje wa viwanja vya Ikulu,Mkapa alikuwa na wageni kutoka shirika la Oxfam la Uingereza ikiwa ni moja ya shughuli zilizokuwa kwenye ratiba ya rais kwa siku ile.Hivyo kwa kipindi hicho anawasili Mwalimu mazungumzo ya Mkapa na ugeni wake yakiendelea ndipo alipofuatwa na mmoja wa makatibu wa Rais na kumnong'oneza juu ya kuwepo kwa Mwalimu pale ikulu kitu kilichomfanya Mkapa kuomba radhi kwa wageni wake na kutoka kwa haraka na kumfuata Mwalimu katika Private Office ya rais(OBR 1).Baada ya salamu tu Mwalimu aliomba kuwa na mazungumzo ya faragha na Rais hivyo walibaki tu wale wanaoruhusiwa na itifaki kuwepo katika mazungumzo ya aina hiyo.

Inasemekana katika maisha ya serikalini siku hiyo mwalimu alikuwa ni mkali sana.Alimweleza sehemu alizopita na kuzungumza suala hili na kutaka kujua sababu za Mkapa kumdharau kiasi hicho na isitoshe pamoja na ujumbe toka kwa kardinari Pengo bado alionyesha kutokujali wito wa Nyerere.Inasemekana Mkapa wakati wote wa mazungumzo hayo alikuwa kimya na kujibu kwa uchache sana maswali ya Nyerere tena kwa kutazama chini na kila wakati kujifuta jasho pamoja na viyoyozi vilivyokuwepo.Mwisho wa mazungumzo yale Mwalimu alimweleza Mkapa,

"Ben ! umenidhalilisha sana,umenisaliti...sijui nitaweka wapi uso wangu"...sasa nasema hivi maliza kiporo chako hiki ukapumzike...tumpate mtu serious hapa..!" Alimaliza kuzungumza akiwa tayari wima na kutoka nje ya ofisi ile.Kwenye korido za ikulu mwalimu alionekana akitembea kwa haraka kuelekea nje tayari kupanda gari lake na hakusalimiana na yeyote wala kuzungumza lolote zaidi ya kutoa ishara ya kupunga mkono kwa waliokuwa wakimsalimia.
Alirudi Msasani akionekana kuwa na mawazo na macho kuwa mekundu,nywele kuwa katika hali ya kuvurugika kiasi fulani....
Duu hatari sana
 
what i remember,is nilikuwa south africa wakati mwalimu anakufa, na is truth, nilishuhudia pat ya watu kujipongeza mahala kwa kugongeana glas mbaya, nilishangaa sana baadaye ndiyo nikajagutuka ohooooooooo,mmojawapa ni yule jamaa anayesimamia shughuli za uchimbaji wa tanzanite ya wasouthafrika kule arusha
Je ndio huyu leo tumeambiwa amefariki?
 
Back
Top Bottom