Luv
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 2,736
- 6,037
Pole na hongera.
Simpendi mtu anayetoa mimba kwa sababu ya shule au wazazi, hayo angeyawaza kabla hajazini ila mimba ikitokea ni bora tu uzae ili kuepuka haya.
Kwa upande wangu ni bora uzae mtoto hata mmoja af haya mambo ya kutoa uendelee nayo baadae hapo kidogo hata utapotaka kuongeza ukikosa unaumia but sio saaana km ukiwa huna kabisa.
Nimeshuhudia dada mmoja alikuwa akipenda sana kutoa mimba na mara ya mwisho alitoa ikiwa na miezi saba hivi sasa kila anayetaka kumuoa anamwambia ashike ujauzito ndio amuoe inashindikana yupo tu anajizeekea
Simpendi mtu anayetoa mimba kwa sababu ya shule au wazazi, hayo angeyawaza kabla hajazini ila mimba ikitokea ni bora tu uzae ili kuepuka haya.
Kwa upande wangu ni bora uzae mtoto hata mmoja af haya mambo ya kutoa uendelee nayo baadae hapo kidogo hata utapotaka kuongeza ukikosa unaumia but sio saaana km ukiwa huna kabisa.
Nimeshuhudia dada mmoja alikuwa akipenda sana kutoa mimba na mara ya mwisho alitoa ikiwa na miezi saba hivi sasa kila anayetaka kumuoa anamwambia ashike ujauzito ndio amuoe inashindikana yupo tu anajizeekea