Cha msingi mlikubaliana,yapaswa kulaumu uamuzi wako,inapendeza kuona baada ya yote hayo
bado unampenda dick,na baba mtoto/mimba je? au ni zile mimba za chupa?
FUNDISHO;
1.KUCHOLOPOA MIMBA SI JAMBO JEMA.NI UUAJI
2.INAPOBIDI, ATAFUTWE DAKTARI MTAALAMU MWENYE SIFA
3.KATIKA MAISHA USIKATE TAMAA KWA JAMBO LOLOTE,ONA SASA UNA KARIBU MIAKA 40 NDIPO GOLI LINAINGIA.
bado unampenda dick,na baba mtoto/mimba je? au ni zile mimba za chupa?
FUNDISHO;
1.KUCHOLOPOA MIMBA SI JAMBO JEMA.NI UUAJI
2.INAPOBIDI, ATAFUTWE DAKTARI MTAALAMU MWENYE SIFA
3.KATIKA MAISHA USIKATE TAMAA KWA JAMBO LOLOTE,ONA SASA UNA KARIBU MIAKA 40 NDIPO GOLI LINAINGIA.