Ila diamond na familia yake anaijali jamani,sasa amjengee na mama yake marekani eti,Nasikia zawadi kapewa mama teee
Ila hapo kalenga wanae waishi vizuri,,na hivi zari anazaa atazaa anunuliwe nyingine Marekani,,naona vyumba vingi maana watoto wengiiJaman zari nikumbuke warumi na Mimi angalau nije kuuza sura south africa kwenye nyumba yetu mpya
Aaah hapana chezeyaaa, akina hamisa wataambulia uvideo queen mamaeeeee, ndomo nimempenda bureee, team mavi wameumbukaje na Salome wao
Sio wrote, mwanamke kama zari Ana haki ya kupata kwa ajili ya mtoto(tiffah) pamoja na anayekuja, hata kama hawajaoana bado watoto wana haki na Mali za baba yao upoo? Na mama atawasimamia watoto wake mpaka wafikishe umri wa miaka 18 ndo watoto wanakabidhiwa Mali zao, hapana chezeya zari the bossladyHivi kwanini wanaume huwapa wake au wachumba vitu vya thamani kuliko wazazi wao,hapo inakuwaje
Kwa hiyo diamond anamaanisha kuwa ivan hana nyumba na pale ile nyumba zari alikua kapanga tu kumbe hehehe katupa siri tulikua hatuijui,,,yaan ivana na mapesa yote yale hana nyumba kweli kua na nyumba ni kipajimi nasubiri mapigo ya ivana nyumba atakayodondosha np (natabiri tu)Sio wrote, mwanamke kama zari Ana haki ya kupata kwa ajili ya mtoto(tiffah) pamoja na anayekuja, hata kama hawajaoana bado watoto wana haki na Mali za baba yao upoo? Na mama atawasimamia watoto wake mpaka wafikishe umri wa miaka 18 ndo watoto wanakabidhiwa Mali zao, hapana chezeya zari the bosslady
Miuno dada, miuno!!!!Hivi kwanini wanaume huwapa wake au wachumba vitu vya thamani kuliko wazazi wao,hapo inakuwaje
Nyumba ugenini tena ya gorofa aisee very expensive house in soth afrika nadhani iyo pesa ya hapo kwa bongo unaweza kujenga kama izo mbili kutokana na tofauti ya uchumi wetu na bondeni