JoJEETA wangejua wanapopataka wasichana ni hapo tu(domo).....hhahaahjaman mwachen cio kosa lake,ndivyo alivyoumbwa.
JoJEETA wangejua wanapopataka wasichana ni hapo tu(domo).....hhahaah
Du, kweli wanawake mwalimu wao ni kipofu mwishowe hujikuta wanatukana wanaume bure. Sasa domo kama hilo kazi yake nini kwa wanawake?
Mdomo tu au kuna lingine ulitaka kusema?
Du, kweli wanawake mwalimu wao ni kipofu mwishowe hujikuta wanatukana wanaume bure. Sasa domo kama hilo kazi yake nini kwa wanawake?
he! Kapaka lipstick?
hivi mkuu BAGAH kuna mtu alipata nafasi ya kumuomba Mungu amuumbe jinsi ya huyo mtu atakavyo au diamond na sisi wote tumejikuta tu tuko kama tulivyo?
Tusihoji wala kudhihaki kazi za mikono ya Mungu.
wewe kilaza acha kumsingizia ALLAH, huo mdomo unauona upo sawa hiyo lipstick ya zambarau!?bnafc ckutarajia kweny grup la wa2 tunaojiita great thnkers kuna weza kuwa na m2 anayeweza kuandika upuuz upuuz kama huu wa kwako cz v2 vyote vya ulimwenguni vmeumbwa na mweyez mungt xo nakushanga unaye mnyoorhea kdole diamond ilihal n wote 2meumbwa ma mwenyz mungu kaa chni ufkirie kiæ cha kuandika na cyo o kukurupuka kama ulvyofanwa hapa
wewe kilaza acha kumsingizia ALLAH, huo mdomo unauona upo sawa hiyo lipstick ya zambarau!?
hivi mkuu BAGAH kuna mtu alipata nafasi ya kumuomba Mungu amuumbe jinsi ya huyo mtu atakavyo au diamond na sisi wote tumejikuta tu tuko kama tulivyo?
Tusihoji wala kudhihaki kazi za mikono ya Mungu.
bnafc ckutarajia kweny grup la wa2 tunaojiita great thnkers kuna weza kuwa na m2 anayeweza kuandika upuuz upuuz kama huu wa kwako cz v2 vyote vya ulimwenguni vmeumbwa na mweyez mungt xo nakushanga unaye mnyoorhea kdole diamond ilihal n wote 2meumbwa ma mwenyz mungu kaa chni ufkirie kiæ cha kuandika na cyo o kukurupuka kama ulvyofanwa hapa