Kiganyi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,242
- 765
Naona Mods wameamua kuwaachia hii thread jukwaa la siasa Makamanda wajifariji na kujiliwaza...ha haa haaa!!
Acha unafiki wewe gamba!
Naona Mods wameamua kuwaachia hii thread jukwaa la siasa Makamanda wajifariji na kujiliwaza...ha haa haaa!!
Mie nawashauri nendeni na kula burudani ya bure,hotuba zao zikianza mnateleza kama Kambale.Style kama ile ya Bungeni.
Mie nawashauri nendeni na kula burudani ya bure,hotuba zao zikianza mnateleza kama Kambale.Style kama ile ya Bungeni.
Diamond ambaye ni kipenzi cha wanawake wengi hususan mabinti wa shule atasaidiana na za komedi kujaza uwanja kabla ya hotuba.
.......
Kitu adhimu sanaa! usijekuta watu wanajaa huku wakifikiri mtu mzima atapiga mweleka kama jangwani au Kirumba! unajua KUBAHATIKA kuona Presida (Commander In Chief) kabebwa msobemsobe baada ya kuishiwa nguvu na na kutepeta hadharani ni tukio adimu kama kuona kupatwa kwa jua? Zomba, usikose Arusha maana unaweza ishi miaka 100 hadi ukafa usishuhudie Amiri Jeshi wa nchi yeyote duniani akitepeta jukwaani.Kama tulivyokomba viti vya udiwani na kiwanja kitajaa, Jakaya Mrisho Kikwete ni kitu adhimu ile.
Kitu adhimu sanaa! usijekuta watu wanajaa huku wakifikiri mtu mzima atapiga mweleka kama jangwani au Kirumba! unajua KUBAHATIKA kuona Presida (Commander In Chief) kabebwa msobemsobe baada ya kuishiwa nguvu na na kutepeta hadharani ni tukio adimu kama kuona kupatwa kwa jua? Zomba, usikose Arusha maana unaweza ishi miaka 100 hadi ukafa usishuhudie Amiri Jeshi wa nchi yeyote duniani akitepeta jukwaani.
Wasanii wengi Wa A-Town ni wa Hip-Hop na unajua jinsi Mziki huo unavyowa Dis Politician so sizan ka watafanya hilo Kosa! SAMAHAN LAKINIhuyo diamond analipwa kiasi gani kwenda huko arusha...huyu diamond ana dili gani na jk/serikali? maana issues za chama/serikali anaitwaga yeye...mbona a town wana wanamuziki wengi tu kwanini wasiwatumie wao?
Let me believe that this is majungu ! Rais mzima atumie Diamond?
Asije akaleta hii maneno kwa machalii wa R...
Kama tulivyokomba viti vya udiwani na kiwanja kitajaa, Jakaya Mrisho Kikwete ni kitu adhimu ile.....
i thought you were smart to know daraja mbili imekombwa na chadema!
Daraja mbili ni moja ya kata ya mjini kabisa.mngemshawishi akazindue jiji huko bangata mliposhinda pale stadium atazomewa!...
kwasababu kikwete atakuwepo na yeye ni hopeless hana la maana atachozungumzahuendi kwa sababu hutaki kushuhudia uzinguzi wa jiji letu au ni kwa sababu kikwete ndio atakuepo?
Angekuwa na akili angewatangazia kwamba Dr.Slaa atakuwepo.