Toa data kamili tujue. Network marketing yao inashugulika na nini. Ofisi zao zipo sehem sinza ipi? Ubabaishaje unakujaje?
in short, wako sinza Mori, karibu na mnara wa tigo...ukienda utakuta watu wengi sana, wanaingia kwenye conference hall yao in turns.. humo ndani wana "preech" matumizi ya dawa za GNLD, na membership ni elfu 50,000.. so utatnunua dawa zao ili uanze kuwauzia mabeste wako... thats all, its not a big deal at all, but trust me, they have high convincing power, na mashuda feki...Toa data kamili tujue. Network marketing yao inashugulika na nini. Ofisi zao zipo sehem sinza ipi? Ubabaishaje unakujaje?
jana nimetumiwa sms na hao watu wakipa offer ya part time job kwa hiyo kampun niende leo ofisin kwao sasa kilichonishangaza sijawahi kuapply kaz kwa hao watu na hakuna mtu ninayemjua anayeijua hiyo kampuni