Unatoka mapovu kwa ajili ya mafanikio ya wenzako?? Unaumia kabisa roho wakati wenzako wanateleza na raha zao?? Looo!!!! ajabu ya wabongo hii. jiunge na wewe freemason uwe stori mjini. pole zako champion wa wivu afrika mashariki na kati.
Ulinisoma lakini???
i only talk about his down to earth personality, mengine siyajui hilo la elimu limekuja kutokana na baadhi kukandya. makosa kama wrong life decision anayofanya kwa sasa yanatokana na environment iliyomzunguka kwa sasa, its about pombe, ngono na misosi, and he should ahve done better iwapo angekua na upeo zaidi, he is a massive talent in our country na east africa, he is unique, na ana busara sana tu....
pamoja na hayo, si kila mtu ni bakhresa au tabu mangara, wengine huhitaji elimu kupevuka zaidi na wengine hata elimu haiwasaidii, unless una povu jingine umeshindwa pa kulitolea....
KUDOS DIAMOND,
Umeeleweka lakini dogo ana mijengo yake anajenga sasa hapo sijui mnasemaje!!!!!!!!!!
Koh..koh..koh..!!!!!daahh nimechek sn hapa leoCalculator huna hata adabu. Mie niwe na wivu na kiumbe kama huyu asiyejua hata alipo na aendapo. Huna adabu wewe kama unaona kuna watu wenye akili wanamuonea wivu mpuuzi kama huyu. Huenda nawe ni wale wale malimbukeni na maskini wa kunuka.
Ataisha vibaya limbukeni huyu. Yuko wapi mr Nice, Muumin na wengine waliozuzuliwa na usupastaa wa Bongo?