grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,442
- 5,807
Mtoto wa kiislamu anavunja maadili aliyofundishwa madrasat kisa superstar.
Mtoto wa kiislamu anavunja maadili aliyofundishwa madrasat kisa superstar.
Tatizo la wabongo mafanikio kidogo basi unabweteka..Sasa watu wakikushauri unasema wana wivu..Kwa hiyo hata kama anafanya visivyo watu wamchekelee tu??? Mbona wengine hawasemwi ila yeye tu??? Kumbuka lisemwalo lipo kama halipo linakuja... (btw hii ni sawa na mwanamke ambaye anayeambiwa na rafikize kuwa mume wake fataki na yeye anawaambia kuwa awanamuonea wivu kwa kuwa anapendwa..mwisho wa siku anapata matatizo anaanza kulialia)
mia mkuu..............Anapromote wimbo wake mpya
Kwani Bakhresa amesoma shule gani? yaani ujinga wa mtu binafsi mnataka kusingizia Elimu? Kina Tabu Mangala waliojenga lile jengo la Yanga na Karume akawapa pesa walisoma wapi? mbona wasomi wanashindwa kufanya kile kilichofanywa na wazee kitambo!?dogo yuko down to earth basi tu elimu inampiga chenga
Sio kila ushauri wa mtu unaweza ukauchukua, af mumshauri nyie kama akina nani? Na management yake inafanya kazi gani ka kila mtu anataka kuwa mshauri wake?
Vp pesa unazozitafuta wewe kuna watu huwa wanakuja kukushauri bila ya kuwaomba?
Ana maisha gani zaidi ya aibu mwanangu? Unataka kujua maisha yangu ili yakusaidie nini? Kujua au kutojua maisha ya huyo juha kunaniongezea au kunipunguzia nini? Siku atakapoingizwa kaburini kwenye mfuko wa lambo ndipo utaelewa nilichomaanisha mwanangu juha.
Ulinisoma lakini???Kwani Bakhresa amesoma shule gani? yaani ujinga wa mtu binafsi mnataka kusingizia Elimu? Kina Tabu Mangala waliojenga lile jengo la Yanga na Karume akawapa pesa walisoma wapi? mbona wasomi wanashindwa kufanya kile kilichofanywa na wazee kitambo!?
Unajiita Calculator kumbe kazi yako ni ku-calculate vijisenti vya huyo dogo na ukishamfilisi unasepa siyo? Kumbe ndio maana unatetea, lakini kumbuka hata uwe unajua mapenzi kiasi gani huwezi kuukumbatia upepo!Wivu tu. kutesa kwa zamu, mwacheni dogo ale bata zake kwa nafasi zake. kama una hasira nae, tafuta na wewe usupastaa wako. Ala!!!!!!!!!!
Wrong timing, povu la nini!! yani mimi nikae hapa kuanza kupiga tarumbeta ya kusifia maisha ya mtu mwingine!! my foot hata kama mimi ni mjinga lakini sijafikia ujinga huo.Ulinisoma lakini???
i only talk about his down to earth personality, mengine siyajui hilo la elimu limekuja kutokana na baadhi kukandya. makosa kama wrong life decision anayofanya kwa sasa yanatokana na environment iliyomzunguka kwa sasa, its about pombe, ngono na misosi, and he should ahve done better iwapo angekua na upeo zaidi, he is a massive talent in our country na east africa, he is unique, na ana busara sana tu....
pamoja na hayo, si kila mtu ni bakhresa au tabu mangara, wengine huhitaji elimu kupevuka zaidi na wengine hata elimu haiwasaidii, unless una povu jingine umeshindwa pa kulitolea....
KUDOS DIAMOND,
Wrong timing, povu la nini!! yani mimi nikae hapa kuanza kupiga tarumbeta ya kusifia maisha ya mtu mwingine!! my foot hata kama mimi ni mjinga lakini sijafikia ujinga huo.
Kila nafsi lazima itaonja mauti,usije kushangaa unamtangulia!!Mungu ndio mjua hatma yetuAna maisha gani zaidi ya aibu mwanangu? Unataka kujua maisha yangu ili yakusaidie nini? Kujua au kutojua maisha ya huyo juha kunaniongezea au kunipunguzia nini? Siku atakapoingizwa kaburini kwenye mfuko wa lambo ndipo utaelewa nilichomaanisha mwanangu juha.
Wivu tu. kutesa kwa zamu, mwacheni dogo ale bata zake kwa nafasi zake. kama una hasira nae, tafuta na wewe usupastaa wako. Ala!!!!!!!!!!