COURTESY
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 2,006
- 706
Ataisha vibaya limbukeni huyu. Yuko wapi mr Nice, Muumin na wengine waliozuzuliwa na usupastaa wa Bongo?
Wivu wa kike unakusumbua na kijiba cha roho,acha dogo ale bata by the way LIFE IS TOO SHORT,
Umenisoma?