Diamond aache kiburi cha hela, mbona kuna matajiri kibao Bongo hawana tabia za kujishaushau hovyo, ni utoto au ndio maskini akipata...!
waandishi wa habari kwa kujua akili zao wanawauliza maswali ya kikekike tu na wenyewe wanaingia kichwakichwa tu.
Maskini akipata.
mata** hulia mbwata!!
Wote machoko tu wapaka poda, midume mizima inakatoka viuno na kuwadiso
Maskini akipata.
Mtu wa kwanza mjinga ni blogger,,,,hamna la maana pale