King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,509
Dudubaya si alikua zaidi ya hyo sasa yuko wapi? Ugomvi hauna issue ningekua mie hakimu ungekula nyundo mbili jela iwe fundisho
Msanii wa Muziki wa kizazi kipya a.k.a Bongo Fleva Diamond amewaomba msamaha Watanzania kwa kitendo ambacho kilitokea mjini Iringa na kusema kuwa hakitatokea tena.Akizungumza na Kajunason Blog mara baara ya kutoka kufanya mahojino katika kipindi cha XXL cha redio Clouds jijini Dar es Salaam, Diamond alisema kuwa,
"Nawaomba msamaha wapenzi wangu wa Muziki ikiwa ni pamoja na Watanzania wote kwa kitendo cha kumfanyia fujo mwandishi wa Iringa,Bw. Godwin Fransis.
"Unajua ni vyema kuwaomba msamahama watanzania kwavile haikuwa dhamira yangu kumfanyia fujo mwandishiwa Iringa, Bw. Godwin Fransis bali ilitokana na hasira nilizokuwa nazo".
Mapema jana tarehe 4.1.2012 Diamond akiwa na wacheza show wake, walitolewa hukumu na hakimu
wa Mahakama ya Mwanzo Hakimu Masua alisema kulingana na watuhumiwa wote watatu kukiri kosa hilo anawahukumu kwenda jela miezi 6 au kulipa fidia ya shilingi elfu hamsini kila mmoja na huku wakilazimika kumlipa Godwinshilingi elfu 30 kila mmoja na kufanya kufikia kiasi cha shilingi 90,000 Wakitoa utetezi wao watuhumiwahao walisema mahakama iwapunguzia adhabu kwa kuwa hawa kukusudia kufanya kosa hilo, na wao walikuja mkoani hapa kwa ajili ya kutoa burudani, na kuwa tukio hilo wamelifanya kwa ghadhabu.
na wacheza show wake, walitolewa hukumu na hakimu
wa Mahakama ya Mwanzo Hakimu Masua alisema kulingana na watuhumiwa wote watatu kukiri kosa hilo anawahukumu kwenda jela miezi 6 au kulipa fidia ya shilingi elfu hamsini kila mmoja na huku wakilazimika kumlipa Godwinshilingi elfu 30 kila mmoja na kufanya kufikia kiasi cha shilingi 90,000 Wakitoa utetezi wao watuhumiwahao walisema mahakama iwapunguzia adhabu kwa kuwa hawa kukusudia kufanya kosa hilo, na wao walikuja mkoani hapa kwa ajili ya kutoa burudani, na kuwa tukio hilo wamelifanya kwa ghadhabu.
Mkuu Sorry! naomba unifahamishe Diamond ndo nani?
ni mwanamziki wa ubongo wa fleva..lol
.......I do.
Ubinadamu kazi kweli kweli, sioni kosa la Msanii Diamond kuomba radhi jamani mnasahau kwamba hakuna mtu aliyemkamilifu, amekiri kosa na kuomba msamaha, kama hutaki hicho sasa kiburi ila ni jambo la kiungwana kuomba radhi unapofanya kosa na Diamond amefanya vema kabisa.
Comment zingine hazina msingi kabisa mtu unaposema mtoto wa uswazi ni wa uswazi tu, ama kusema ndio maana anaishi na wema hizo ni dalili za wivu jamani wakati mwingine si lazima ku comment kama huna jambo la msingi la kusema.
Mwisho hongera sana Diamond, kwani ni mmoja ya wasanii wenye vipaji na wanaojua kutawala jukwaa.Hakuna nyimbo ambayo Diamond ameitoa ikafanya vibaya. Keep it up.
hey dude, thousands of us diamond's fans care!
Dudubaya si alikua zaidi ya hyo sasa yuko wapi? Ugomvi hauna issue ningekua mie hakimu ungekula nyundo mbili jela iwe fundisho
hey dude, thousands of us diamond's fans care!