Ana confidence balaaaaah alivyoitwa nilianza kutetemeka Mimi nikasema mungu wangu.....kumbe ngeli inapanda
IK alipomwita jukwaani ili aongee nae kabla ya kuimba wimbo wa mwisho wa moyo wangu, nikajua atashindwa kuongea ung'eng'e,tunashukuru aliweza kujibu!japokuwa na maswali yenyewe yalikuwa mepesi!
kaenda na Jokate?
nilihofia asitegue ulimi tu.....
Ila wimbo wa moyo wangu hakuuimba vyema(mtazamo wangu)
Hahahaha kitu inglishi kozi mchezo, cku hizi hata mahouse gelo wanajifunza lugha ya malkia itakuwa diamond
Sasa cc tufanyeje?Leta mada nzito siyo hizi nyepec na binafc.
Unalazimisha kuonekana msomi!....upimbi ugonjwa mbaya sana!
Unalazimisha kuonekana msomi!....upimbi ugonjwa mbaya sana!
hajaimba vizuri kabisa, sauti ilikuwa inakwaruza, ila show ilikuwa kali.
hivi mwalimu wake ni nani?
Natafuta nijifunze jamani, nimechoka kuumbuka.
Nilienda mahali panya akawa ndani, afu wenzangu hawajui kiswahili, mie panja simjui kwa kizungu.
Nikawauliza do you know Tom and Jery? Wakajibu Yes.
Nikawaambia Jery is inside.
kungwi wangu mzima weye?? mie nikajua kacrem!! lolest alijitahidi sana kuongea kha! jokate anastahili pongezi za tuition za usiku! lolest amesogea sana kwenye ngeli.dayamondi nooooouuumeeeer.
Sikujua kama anatema mayai yaleee
me love this bwoyy.
Nyambaf zang mwenyewe lol
Kitu cha mbagala hajawakatia mauno?