Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
Duh, bethdei nyingine wallahi sio mchezo!
Hao wenzake wawili wanatamani nao walishwe.
Duh, bethdei nyingine wallahi sio mchezo!
Una maana gani?Mwaweza dhania ujanja kumbe masharti ya mganga
Mkuu Saint Ivuga sasa unataka wapelekwe wapi kama sio india? hujambo lakini rafiki yangu Saint Ivuga?wakiumwa hawa wanataka kuchangiwa wapelekwe india si ndio?
well saidHaya ni ya muda tu ni bora atulie aangalie mbele zaidi maana tuliwaona akina Kanda Bongoman na akina Awilo wakapita.Ningemshauri ajikite kujijenga na kuweka vitega uchumi maana kwenye hii dunia kuna kupanda na kushuka
wakiumwa hawa wanataka kuchangiwa wapelekwe india si ndio?
Duh, bethdei nyingine wallahi sio mchezo!