King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,614
- 68,543
Jana wakati ommy dimplez anapokea tunzo yake,diamond alitoa ushuhuda kwamba mungu mkubwa,yeye ndio aliyevumbua kipaji cha ommy lkn alivyoenda kwa producer kumu-introduce huyo producer(Bob Jr) aksema huyu(ommy) hawezi kabisa,sasa diamond anashangaa huyo aliyesema hawezi ajapata tunzo hata moja,labda pengine diamond analipiza dongo alilopigwa na bob jr wkt akichezesha taya na sam misago kwenye FNL(jana yake) kwamba yeye(diamond) sio rais wa wasafi.
Nawasilisha.
Nawasilisha.