Anagombana na mamemanager wake mara kwa mara ndo maana ana drop nowadaysNaam hawa wapo vizuri sana, huyu Dimpoz kuna wakati alikuwa anamkaribia sana Diamond ila sijui kwa sasa amekosea wapi!
Fid q hamuwezi yule jamaa aliyeimba perfect combKwa sisi watu wa Hip hop tunaamini mtu wa kwanza ni Fid Q.....ila katika hawa wawili wanaovuma ni kwa sababu ya nguvu kubwa ya watu wazito na wenye pesa walio nyuma yao na team pia.
Baraka yupo chini ya uongozi mmoja yeye na Kiba, Rock star......Abdul ni ndugu yake Kiba wa tumbo moja hivyo kuna ukaribu mkubwa.Samahani mkuu naomba kukuuliza,hivi hao madogo Baraka na Abdukiba unaosema "vijana wa " kiba una maanisha nini sijakuelewa .............???
Fid ni local zaidi.Kwa sisi watu wa Hip hop tunaamini mtu wa kwanza ni Fid Q.....ila katika hawa wawili wanaovuma ni kwa sababu ya nguvu kubwa ya watu wazito na wenye pesa walio nyuma yao na team pia.
Ni kweli jamaa hawatanii, je ni yupi mtu wa tatu kati yao?Ben paul na jux hataree sana wanajua mpaka basi
Ni kweli jamaa wanafanya vema kwa sasa.yaani umeongea kitu cha msingi sana, hao wengine hata wapige ngoma kali vipi watu wanawaanhalia hao tu namba 1 na 2
Kwangu Mimi namba 3 ni Vanessa au Navy Kenzo ( kimtazamo Wa kimataifa)
Vanessa sio mtu wa mchezo mchezoKweli kabisa vanessa anastahili kua namba tatu nevy kenzo inabidi waamke na wawe serious na mziki wao
Hao ni ligi nyingine katika game ya hip hop, hao watu nao wana wapenzi wengi kila upande.kuliko joh makini??
Namkubali sana Benpol.Naam hawa wapo vizuri sana, huyu Dimpoz kuna wakati alikuwa anamkaribia sana Diamond ila sijui kwa sasa amekosea wapi!
Umenena vema mkuu.Dimpoz ni kweli alikuwa na potential ya kuwa 'Top Player' kwa kipindi kile, ila tokea alipotoa Angela Graph yake ikaanza kushuka. Ben Pol ni msanii mkali ila hana potential ya kuwa Top Player kwenye muziki
Huyu ngoja wapambane na Sholo mwamba kwanza kisha avuke vuke kwa Shilole.Man Fongo
Kwa sasa Kibongo bongo mziki ni mbio za farasi mmoja tuu, nae ni diamond. Nyingine ni chuki binafsi tu na wivu wa kijinga
Huyu ngoja wapambane na Sholo mwamba kwanza kisha avuke vuke kwa Shilole.