Bumpkin Billionare
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 1,332
- 621
Hawa vijana hawanyimwi ruhusa ya kusali, wanachodai wanataka serikali iwanjengee msikiti hapo shuleni kwasababu wakristo wana kanisa tena kubwa, wanasahua kuwa kanisa hilo lilijengwa kabla shule hiyo haijataifishwa na serikali
Sio kuwa kanisa lilijengwa kabla shule haijataifishwa, bali Kanisa ndio lililojenga hiyo shule yenyewe. Na cha kushangaza, hamna hata mmoja wao anayetaka kufuatilia uhalisia wa haya mambo zaidi ya kuongelea kama matatizo ya ukewenza. Roho ya manung'uniko na kutopenda kufikiri inawajaa mpk wanashindwa kutambua kuwa wana wajibu wa kufanya mambo yao kwa taratibu zaidi ya kudai haki pasipo na majasho yao.