Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Hapo kwenye red ni wewe na nani?tunazo taarifa za uhakika ambazo zinaonyesha mwalimu mkuu mpya aliyepelekwa ndanda kuwanyanyasa vijana wa kiislam na kufunga chumba wanachofanyia ibada na kujitapa kwamba serikali imetaifishha majengo lkn ardhi ni ya kanisa na hawana haki yoyote ya kiimani wakiwa ndani ya shule. Hii haikubaliki.
Zingatia matumizi ya umoja na wingi/singular and plural.