Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Wadau nahitaji kujua. kondom ina mafuta yake lakini inafika wakati wa "tendo" hayo mafuta yanakauka kabisa na inakuwa hatarishi kwa pande zote. ukitumia petroleum jelly (mafuta ya mgando), kondom inachanika vibaya sana! wanasema mafuta mazuri ya kutumia juu ya kondom ni ya maji na yasiyo na petroleum. sasa ni mafuta gani hayo na yanapatikana wapi?