Dharau kwa Watanzania

Sitachoka

JF-Expert Member
Nov 17, 2011
3,030
1,303
Tanzania siyo nchi yenye uwezo wa kumiliki gari la wagonjwa lenye miguu mitatu, Tunaiomba serikali iache dharau kwa Raia wake, huu ni utovu wa nidhamu ulio waziwazi wa wananchi wa taifa la Tanzania! Vp wewe kama wewe unalitazamaje kwa ufahamu wako??
 
Tanzania siyo nchi yenye uwezo wa kumiliki gari la wagonjwa lenye miguu mitatu, Tunaiomba serikali iache dharau kwa Raia wake, huu ni utovu wa nidhamu ulio waziwazi wa wananchi wa taifa la Tanzania! Vp wewe kama wewe unalitazamaje kwa ufahamu wako??
Hii ni dharau kubwa sana, wao wakiugua mafua wanakimbizana kutibiwa nje ya nchi kwa gharama kubwa; raia wa kawaida ndo abebwe kwenye bajaj inasikitisha ndg.
 
Kama hii? Mbona hata UNICEF & JAPAN wamedhamini?
_45711917_bike_bbc_466.jpg
 
Tanzania siyo nchi yenye uwezo wa kumiliki gari la wagonjwa lenye miguu mitatu, Tunaiomba serikali iache dharau kwa Raia wake, huu ni utovu wa nidhamu ulio waziwazi wa wananchi wa taifa la Tanzania! Vp wewe kama wewe unalitazamaje kwa ufahamu wako??

Tulishajidharau wenyewe kwa kuchagua serikali ya ajabu ajabu sasa unauliza swali la namna gani!

'your hunting grounds determines what pray you will catch'
 
Nimemini yale ya rostam aziz kuwa watanzania tuna siasa uchwara. Ina maana kila kinachofanywa na serikali ni matatizo kwa wananchi? inamaana toka JK aingie madarakani hakuna ambacho amekifanya cha maana? Jamani tujifunze kukubali jema na kuakataa baya
 
UNICEF na JAPAN kudhamini hakujustfy uhalali wa huu ufukunyuku, kwani hata wewe ukiambiwa umtengenezee panya kitanda utatengeneza kama cha binadamu?

An ambulance is a vehicle for transportation of sick or injured people to, from or between places of treatment for an illness or injury,[SUP][1][/SUP] and in some instances will also provide out of hospital medical care to the patient. The word is often associated with road going emergency ambulances which form part of an emergency medical service, administering emergency care to those with acute medical problems.
The term ambulance does however extend to a wider range of vehicles other than those with flashing warning lights and sirens, including a large number of non-urgent ambulances which are for transport of patients without an urgent acute condition and a wide range of vehicles including trucks, vans, bicycles, motorbikes, station wagons, buses, helicopters, fixed-wing aircraft, boats, and even hospital ships.
The term ambulance comes from the Latin word ambulare, meaning to walk or move about[SUP][2][/SUP] which is a reference to early medical care where patients were moved by lifting or wheeling. The word originally meant a moving hospital, which follows an army in its movements.[SUP][3][/SUP] During the American Civil War vehicles for conveying the wounded off the field of battle were called ambulance wagons.[SUP][4][/SUP] Field hospitals were still called ambulances during the Franco-Prussian War[SUP][5][/SUP] of 1870 and in the Serbo-Turkish war of 1876[SUP][6][/SUP] even though the wagons were first referred to as ambulances about 1854 during the Crimean War.[SUP][7][/SUP]
There are other types of ambulance, with the most common being the patient transport ambulance. These vehicles are not usually (although there are exceptions) equipped with life-support equipment, and are usually crewed by staff with fewer qualifications than the crew of emergency ambulances. Their purpose is simply to transport patients to, from or between places of treatment. In most countries, these are not equipped with flashing lights or sirens. In some jurisdictions there is a modified form of the ambulance used, that only carries one member of ambulance crew to the scene to provide care, but is not used to transport the patient.[SUP][8][/SUP] Such vehicles are called fly-cars. In these cases a patient who requires transportation to hospital will require a patient-carrying ambulance to attend in addition to the fast responder.
 
Wao India kwa Airbus na Boing za Maana, sisi bajaji na bodaboda kuelekea zahanati yenye nesi m1 na mkeka kwa ajili ya kujifungua. "Am proud to be a tanzanian??" Chenge says this, do i.?
 
Wewe unashangaa hicho kitoroli wakati watu wanajadiliana kulipana MAMISHAHARA na MAPOSHO zaidi!
 
UNICEF na JAPAN kudhamini hakujustfy uhalali wa huu ufukunyuku, kwani hata wewe ukiambiwa umtengenezee panya kitanda utatengeneza kama cha binadamu?

Very well said! In other words: if you set your standards very low no one will bother to upgrade your standards. You have to value yourself (demand high standards) then others can see and treat you according to your standards.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom