Kwa ule ubinafsi na dharau kwa viongozi wa taifa hili dhidi ya fikra za mwalim nyerere haya mafujo na vurugu za waislam ndio majibu na laana za baba wa taifa alizolaan kwa wale watakaoshindwa kutimiza wajibu wao wa kutokemea matukio ya udini na ukabila mapema na kwa nguvu yote kama viongozi wa nchi...mwalimu alisema atakayekwenda kinyume na misingi ya katiba na taifa hili kwa ubaguzi wa udini na ukabila laana imtafune kwelikweli...ndo haya leo yanatokea,jaman viongozi wetu rudieni kauli za nyerere....hayati baba yetu