West Nnyambala
New Member
- Feb 24, 2011
- 4
- 0
Hayo maneno nimekuwa nikikutana nayo kila siku ningependa kujua maana yake. Tusaidiane hii lugha yetu wote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa umetuuliza swali utupime kama unajua au! kama huyajui umejuaje ni kiswahili ....tena sanifu ! acha ushalobaro bana!Ni maneno ya Kiswahili tena Kiswahili sanifu
Sasa umetuuliza swali utupime kama unajua au! kama huyajui umejuaje ni kiswahili ....tena sanifu ! acha ushalobaro bana!
Kama Ulumbi ni upendo!na Ulowa nn!Ulumbi sio Shukurani/shukuru!Ulumbi ni kinyiramba inamaanisha upendo
Kama Ulumbi ni upendo!na Ulowa nn!Ulumbi sio Shukurani/shukuru!
By the way ! ULAILE YANI Chetuntu!
numpanga! umependeza dada! shemeji ana bahati kweli hebu mwambie aje anipe magai bwana ,! mwile waze kukupela nama!iiza ulaile yani mbwane.
Ulumbi ni kinyiramba inamaanisha upendo
Haya bhandugu! Ulumbi ni hali ya mtu kufahamu lugha zaidi ya moja kwa ufasaha, msimbo ni namba, herufi au mchanganyiko wa vyote, katika muktadha maalum, hutumika kuwakilisha dhana fulani. Mfano:KJ511 kuwakilisha KIKOSI CHA JESHI NAMBA 511. Hiko cha mwisho mpaka nipekue makamusi yangu!
Naomba kuwasilisha....