Dhana ya udini, ukabila na ukanda wa CHADEMA

mwea nakuunga mkono 100% huju jamaa ni maiti kabisa huyo dada anatetea haki,,,hama kweli magamba yote ni maku malizia na ma
 
Huyu naye kazuka toka wapi?

Watu wanatafakuri matukio muhimu kama ya Kuumia kwa Dr Ulimboka yeye anaota!
 
1: Lucy owenya ni mbunge viti maalum lakini ni shemeji wa mbunge wa jimbo la moshi mjini (ndesamburo) ambaye pia ni mfadhili mkubwa wa chama hicho.hapa utagundua kuwa cdm imeamua kulipa fadhila kwa mfadhili bila kuangalia usawa wanaoulili,je siyo unafiki?






2: grace kiwelu ndesamburo ni mb viti maalumu na ni mtoto wa ndesamburo.je cdm si ya wachaga?


shinyanga mjini. chadema vitongoji 7, magamba 4.

nenda kanye ulale.
 
Umepewa posho kwa kazi waliyo kupa,tupo buzy na ulimboka hatuna mpango na shuzi lako.
 
MADAYA katika mambo yoote yanayoendelea hapa nchini wewe kwako hilo ndio umeliona jambo la msingi kutuletea hapa tujadili? Kuna bl 300 zimeibwa ziko uswis,pesa ya rada,epa,makaa ya mawe watu wameshauza,bajeti ya nchi imechakachuliwa huoni?unakubali na wewe kuitwa dhaifu au niseme umevibiwa?ninahasira......kwa usalama wako ngoja niishie hapo
 
MADAYA, katika mambo yoote yanayoendelea hapa nchini wewe kwako hilo ndio umeliona jambo la msingi kutuletea hapa tujadili? Kuna bl 300 zimeibwa ziko uswis,pesa ya rada,epa,makaa ya mawe watu wameshauza,bajeti ya nchi imechakachuliwa huoni?unakubali na wewe kuitwa dhaifu au niseme umevibiwa?ninahasira......kwa usalama wako ngoja niishie hapo
 
Kama utakuwa unafikiria hayo, CCM yapo kama hayo mara 1000, Je CCM itakuwa chama cha namna gani!!. Ulimbukeni na udhaifu tu..........
 
Hawa nao wapo. Mvurugaji tu huyu. Nyani haoni kundule! Mpotezeeni. Tutafakari ya Dr. Ulimboka. Tumuombee kupona siri ifichuke.
 
1: Lucy owenya ni mbunge viti maalum lakini ni shemeji wa mbunge wa jimbo la moshi mjini (ndesamburo) ambaye pia ni mfadhili mkubwa wa chama hicho.hapa utagundua kuwa cdm imeamua kulipa fadhila kwa mfadhili bila kuangalia usawa wanaoulili,je siyo unafiki?






2: grace kiwelu ndesamburo ni mb viti maalumu na ni mtoto wa ndesamburo.je cdm si ya wachaga?

Dr Ulimboka yuko ICU, thanks to CCM. Na kama haitoshi unataka watu wajadili ukabila. CCM mna kiu ya damu za watanzania na ni dhahiri hili la ukabila ni maandalizi ya fujo mnazotaka kuleta kwa mgongo wa ukabila. Bloodsuckers!
 
1: Lucy owenya ni mbunge viti maalum lakini ni shemeji wa mbunge wa jimbo la moshi mjini (ndesamburo) ambaye pia ni mfadhili mkubwa wa chama hicho.hapa utagundua kuwa cdm imeamua kulipa fadhila kwa mfadhili bila kuangalia usawa wanaoulili,je siyo unafiki?






2: grace kiwelu ndesamburo ni mb viti maalumu na ni mtoto wa ndesamburo.je cdm si ya wachaga?

hoja nyepesi. Kawawa family, Riz and Mama wa kambo wake, Malima family, na wengine wengi mpaka kina Le mutuz na unaweza kuendelea.
 
1: Lucy owenya ni mbunge viti maalum lakini ni shemeji wa mbunge wa jimbo la moshi mjini (ndesamburo) ambaye pia ni mfadhili mkubwa wa chama hicho.hapa utagundua kuwa cdm imeamua kulipa fadhila kwa mfadhili bila kuangalia usawa wanaoulili,je siyo unafiki?






2: grace kiwelu ndesamburo ni mb viti maalumu na ni mtoto wa ndesamburo.je cdm si ya wachaga?

we ndo nyauba kweli.....nani kakwambia Grace ni mtoto wa Ndesamburo....? acha kukurupuka.....
 
wewe vp uko dunia ya ngap? nahc hata mkeo anaweza akaibiwa ukasema hamna neno! jifunz kitu mkuu uko kjj gani labda huon
 
1: Lucy owenya ni mbunge viti maalum lakini ni shemeji wa mbunge wa jimbo la moshi mjini (ndesamburo) ambaye pia ni mfadhili mkubwa wa chama hicho.hapa utagundua kuwa cdm imeamua kulipa fadhila kwa mfadhili bila kuangalia usawa wanaoulili,je siyo unafiki?






2: grace kiwelu ndesamburo ni mb viti maalumu na ni mtoto wa ndesamburo.je cdm si ya wachaga?

What about ukoo wa akina Riz...:mod:
 
Back
Top Bottom