Taured
JF-Expert Member
- Dec 12, 2010
- 806
- 670
Sikubaliani na mtoa mada kubemendwa ni jambo lipo na la muda mrefu na nimeshuhudia hata marafiki zangu likiwakuta na watu wenye uwezo hata kiuchumi na hata wasomi limewakuta jambo hili. Tunapenda kudharau vitu vya msingi na vya kale wakati vilisaidia sana. Sasa kuna haja gani ya kufanya mapenzi siku 40 baada ya kujifungua? Hamu gani hii maziwa yanamtoka bado mtoto analialia! Tuweni wastaarabu na huyo mtoa mada kakiri wazi ndani ya siku 40 mama anaweza kupata mimba hivyo kuathiri ukuaji wa mtoto husika na wanandoa wengi wanafanya mapenzi usiku wataoga saa ngapi wakati mtoto kaanza kulia anataka nyonyo na mama na baba wamejaa mijasho ya kumaliza ngono zembe?