Taured
JF-Expert Member
- Dec 12, 2010
- 806
- 670
Hakuna cha imani km baba au mama akijihusisha na mapenzi nje mtoto lazma yatamkuta ya kumkuta watoto wengine hushindwa hata kutembea kwa muda muafaka hata km haumwi wengine hata kuongea ni mambo ambayo practically yapo na tunayaona halafu mtu anasema eti ni imani!