Nimekua nikisiliza baadhi ya wanasiasa na wanaandishi wa habari wakipotosha umma na kuzusha taharuki kinyume na hali halisi ili kukidhi matakwa na haja zao, ieleweke kwamba, mambo yote yanayoendelea ndani ya nchi ni propaganda za kisiasa na janja ya walanguzi wa nchi wakitumia mgongo wa waandishi wa habari wasio na haiba ya undishi, ni dhahiri kuwa kila mtanzania ana uelewa wa mambo mengi ingawa tunazidiana kwa viwango katika kuelewa mambo,
ni ukweli uliotukuka kuwa, tumeambiwa na kutishia sana ikiwa ni pamoja na polisi kuvunja katiba ya nchi kukataza maandamano kwa propaganda za alshabab, hizi ni siasa za maji taka ambazo lazima zikemewe kwa nguvu ya uma katika kupigania ukombozi wa kweli wa mtanzania, kumekuwepo na vitendo kwa njia isiyo sahihi katika kutumia vyombo mbalimbali kueneza habari zisizokuwa kweli hasa pale wananchi wanapodai haki na kuhoji mambo mengi yenye majibu hatarishi kwa nchi juu ya mwenendo wa viongozi na utawala wao wa kiimla!
ni dhahiri kuwa, kwa kila nchi yoyote ambayo ishaonja utamu wa madaraka, huwa inatumia janja nyingi na wakati mwingine huwa iko tayari hata kutoa roho za watu pindi wanahisi tonge linataka kupokwa na wenye uchungu na cnhi, kizazi chetu cha sasa, kilichoshuhudia karne mbili yani 20 na 21, tumeona mengi na bado tuanshuhudia mengi, tunahoji na kuwaza mwisho tunapata majibu yenye kutia hasira, tahamaki na uchungu juu ya yale tunayoyaona, tunayoyasoma na kuyasikia, viongozi wamejitokeza sana bila woga na kudani sera mfu na propaganda za siasa kwenye mambo ya msingi na uhai wa taifa, ustawi wa taifa hauwezi kuwepo kama maslahi ya watanzania yatapuuzwa kama kinachooneka katika kipindi hiki!
tumeona propaganda za katiba na hotuba za vijembe lenye lengo la kuudhoofisha na kuposha ukweli, lazima watanzania waelewe kuwa kosa linalotaka kufanywa na ccm ni kosa kubwa litakalotaka maelezo ya kina hapo baadae kwa kutaka kutumia kodi za wanachi kutengeza katiba feki ili ikataliwe tuingie uchaguzi na katiba ya sasa, hizi janja tushazishutukia na kamwe hatutakubali, delaying tacs zinazofanya ni siasa za kizamani na watanazania watambue kuwa, iwapo kura ya no itazidi ya ndiyo juu ya katiba mpya ni makubaliano yaliyowazi kwamba tutatumia katiba ya zamani, huu ni mtego wa kisiasa ambao ushashutukiwa na lazima tuukemee na walio nyuma yao tuwalaani na kamwe hatutaishia hapa!
Mwisho nitoe rai kwa wananchi tujitahidi kuelimisha umma, tusimame na kujitokeza kupinga kwa nguvu kubwa juu ya uonevu wa makusudi unaofanya na chama ikiwa ni pamoja na kutumia rasilimali vibaya!
ni ukweli uliotukuka kuwa, tumeambiwa na kutishia sana ikiwa ni pamoja na polisi kuvunja katiba ya nchi kukataza maandamano kwa propaganda za alshabab, hizi ni siasa za maji taka ambazo lazima zikemewe kwa nguvu ya uma katika kupigania ukombozi wa kweli wa mtanzania, kumekuwepo na vitendo kwa njia isiyo sahihi katika kutumia vyombo mbalimbali kueneza habari zisizokuwa kweli hasa pale wananchi wanapodai haki na kuhoji mambo mengi yenye majibu hatarishi kwa nchi juu ya mwenendo wa viongozi na utawala wao wa kiimla!
ni dhahiri kuwa, kwa kila nchi yoyote ambayo ishaonja utamu wa madaraka, huwa inatumia janja nyingi na wakati mwingine huwa iko tayari hata kutoa roho za watu pindi wanahisi tonge linataka kupokwa na wenye uchungu na cnhi, kizazi chetu cha sasa, kilichoshuhudia karne mbili yani 20 na 21, tumeona mengi na bado tuanshuhudia mengi, tunahoji na kuwaza mwisho tunapata majibu yenye kutia hasira, tahamaki na uchungu juu ya yale tunayoyaona, tunayoyasoma na kuyasikia, viongozi wamejitokeza sana bila woga na kudani sera mfu na propaganda za siasa kwenye mambo ya msingi na uhai wa taifa, ustawi wa taifa hauwezi kuwepo kama maslahi ya watanzania yatapuuzwa kama kinachooneka katika kipindi hiki!
tumeona propaganda za katiba na hotuba za vijembe lenye lengo la kuudhoofisha na kuposha ukweli, lazima watanzania waelewe kuwa kosa linalotaka kufanywa na ccm ni kosa kubwa litakalotaka maelezo ya kina hapo baadae kwa kutaka kutumia kodi za wanachi kutengeza katiba feki ili ikataliwe tuingie uchaguzi na katiba ya sasa, hizi janja tushazishutukia na kamwe hatutakubali, delaying tacs zinazofanya ni siasa za kizamani na watanazania watambue kuwa, iwapo kura ya no itazidi ya ndiyo juu ya katiba mpya ni makubaliano yaliyowazi kwamba tutatumia katiba ya zamani, huu ni mtego wa kisiasa ambao ushashutukiwa na lazima tuukemee na walio nyuma yao tuwalaani na kamwe hatutaishia hapa!
Mwisho nitoe rai kwa wananchi tujitahidi kuelimisha umma, tusimame na kujitokeza kupinga kwa nguvu kubwa juu ya uonevu wa makusudi unaofanya na chama ikiwa ni pamoja na kutumia rasilimali vibaya!