Dhana hii ni mbaya.

Jrafiki

Member
Dec 23, 2011
75
15
Mara nyingi nimekuwa msomaji wa mambo yanayohusu ajira na kazi,humu watu hutoa mawazo yao na wengine kuomba ushauri nini wafanye ili either wapate kuajiriwa ama kujiajiri kulingana na elimu zao ama matakwa ndani ya mioyo yao ili mwishowe wajinasue na hali ngumu ya kimaisha iliyopo sasa.Ki ukweli sifurahishwi na baadhi ya wachangiaji ambao hushauri wenye hizo shida kujiajiri pasipo KUWAAMBIA NI KWA NAMNA GANI WATAJIAJIRI.Na pia kuna wengine hufika mbali na kuwaona wasioajiriwa ni wale wenye matokeo mabaya kitaaluma.Haitoshi kuna wengine huwaona wanaosema KUJIAJIRI PASIPO MTAJI HAIWEZEKANI wameshndwa kutumia elimu zao kujinasua mwishowe huwabeza.
Nataka niseme kitu hasa katika eneo la kujiajiri:
Safari ya kuanzisha biashara ama mradi huanzia ktk mawazo ya mtu/watu kwanza,ili ufanye biashara kisasa ni vema uandae business plan.Kuandaa business plan peke yake kunahitaji pesa.Ili uandae business plan ni lazima ufanye study ya mambo mengi juu ya hicho kitu unachotaka kukianzisha ie upatikanaji wa malighafi,upatikanaji wa wateja,njia ktk kufanya uzalishaji n.k.
Ili hiyo study itimie inabidi ujifunze kutoka kwa waliofanikiwa/walioshndwa ktk hilo unalotaka kulianzisha(ikiwa ni biashara ama mradi ambao tayari kuna wengne walishaufanya),kwa hiyo huna budi kuwatembelea na kuongea nao.Pia study itakuhitaji uwe na nyenzo za kukusaidia kujua kinadharia pia juu ya hilo ulifanyalo,kwa hiyo utahitaji kusoma vitabu vinavyoelezea maswala hayo,computer iliyounganishwa na internate kukusaidia kufahamu zaidi juu ya hicho ukiwazacho.KWA HAYO YA KUFANYA STUDY ILI UANDIKE BUSINESS PLAN KUTAKUHITAJI PESA NA MUDA.Ikumbukwe hapo ni study tu ambayo itakuja na jibu la nini ufanye bado hujafika ktk mtaji.Tuache siasa,mtu asiongee kwa sababu yeye ana kazi basi akachukulia haya mambo kirahirahisi na KUSEMA PESA HAZIHITAJIKI Kwa wenye mawazo ya kujiajiri.
Jiulize?unawezaje kuandaa business plan ukiwa nyumbani kwako tu?hakika haiwezekani.
 
Mara nyingi nimekuwa msomaji wa mambo yanayohusu ajira na kazi,humu watu hutoa mawazo yao na wengine kuomba ushauri nini wafanye ili either wapate kuajiriwa ama kujiajiri kulingana na elimu zao ama matakwa ndani ya mioyo yao ili mwishowe wajinasue na hali ngumu ya kimaisha iliyopo sasa.Ki ukweli sifurahishwi na baadhi ya wachangiaji ambao hushauri wenye hizo shida kujiajiri pasipo KUWAAMBIA NI KWA NAMNA GANI WATAJIAJIRI.Na pia kuna wengine hufika mbali na kuwaona wasioajiriwa ni wale wenye matokeo mabaya kitaaluma.Haitoshi kuna wengine huwaona wanaosema KUJIAJIRI PASIPO MTAJI HAIWEZEKANI wameshndwa kutumia elimu zao kujinasua mwishowe huwabeza.
Nataka niseme kitu hasa katika eneo la kujiajiri:
Safari ya kuanzisha biashara ama mradi huanzia ktk mawazo ya mtu/watu kwanza,ili ufanye biashara kisasa ni vema uandae business plan.Kuandaa business plan peke yake kunahitaji pesa.Ili uandae business plan ni lazima ufanye study ya mambo mengi juu ya hicho kitu unachotaka kukianzisha ie upatikanaji wa malighafi,upatikanaji wa wateja,njia ktk kufanya uzalishaji n.k.
Ili hiyo study itimie inabidi ujifunze kutoka kwa waliofanikiwa/walioshndwa ktk hilo unalotaka kulianzisha(ikiwa ni biashara ama mradi ambao tayari kuna wengne walishaufanya),kwa hiyo huna budi kuwatembelea na kuongea nao.Pia study itakuhitaji uwe na nyenzo za kukusaidia kujua kinadharia pia juu ya hilo ulifanyalo,kwa hiyo utahitaji kusoma vitabu vinavyoelezea maswala hayo,computer iliyounganishwa na internate kukusaidia kufahamu zaidi juu ya hicho ukiwazacho.KWA HAYO YA KUFANYA STUDY ILI UANDIKE BUSINESS PLAN KUTAKUHITAJI PESA NA MUDA.Ikumbukwe hapo ni study tu ambayo itakuja na jibu la nini ufanye bado hujafika ktk mtaji.Tuache siasa,mtu asiongee kwa sababu yeye ana kazi basi akachukulia haya mambo kirahirahisi na KUSEMA PESA HAZIHITAJIKI Kwa wenye mawazo ya kujiajiri.
Jiulize?unawezaje kuandaa business plan ukiwa nyumbani kwako tu?hakika haiwezekani.

Mkuu wengi wanaongea tu kama fashen...wakishapata vibarua vya kubadilisha mboga wanajisahau
 
Mara nyingi nimekuwa msomaji wa mambo yanayohusu ajira na kazi,humu watu hutoa mawazo yao na wengine kuomba ushauri nini wafanye ili either wapate kuajiriwa ama kujiajiri kulingana na elimu zao ama matakwa ndani ya mioyo yao ili mwishowe wajinasue na hali ngumu ya kimaisha iliyopo sasa.Ki ukweli sifurahishwi na baadhi ya wachangiaji ambao hushauri wenye hizo shida kujiajiri pasipo KUWAAMBIA NI KWA NAMNA GANI WATAJIAJIRI.Na pia kuna wengine hufika mbali na kuwaona wasioajiriwa ni wale wenye matokeo mabaya kitaaluma.Haitoshi kuna wengine huwaona wanaosema KUJIAJIRI PASIPO MTAJI HAIWEZEKANI wameshndwa kutumia elimu zao kujinasua mwishowe huwabeza.
Nataka niseme kitu hasa katika eneo la kujiajiri:
Safari ya kuanzisha biashara ama mradi huanzia ktk mawazo ya mtu/watu kwanza,ili ufanye biashara kisasa ni vema uandae business plan.Kuandaa business plan peke yake kunahitaji pesa.Ili uandae business plan ni lazima ufanye study ya mambo mengi juu ya hicho kitu unachotaka kukianzisha ie upatikanaji wa malighafi,upatikanaji wa wateja,njia ktk kufanya uzalishaji n.k.
Ili hiyo study itimie inabidi ujifunze kutoka kwa waliofanikiwa/walioshndwa ktk hilo unalotaka kulianzisha(ikiwa ni biashara ama mradi ambao tayari kuna wengne walishaufanya),kwa hiyo huna budi kuwatembelea na kuongea nao.Pia study itakuhitaji uwe na nyenzo za kukusaidia kujua kinadharia pia juu ya hilo ulifanyalo,kwa hiyo utahitaji kusoma vitabu vinavyoelezea maswala hayo,computer iliyounganishwa na internate kukusaidia kufahamu zaidi juu ya hicho ukiwazacho.KWA HAYO YA KUFANYA STUDY ILI UANDIKE BUSINESS PLAN KUTAKUHITAJI PESA NA MUDA.Ikumbukwe hapo ni study tu ambayo itakuja na jibu la nini ufanye bado hujafika ktk mtaji.Tuache siasa,mtu asiongee kwa sababu yeye ana kazi basi akachukulia haya mambo kirahirahisi na KUSEMA PESA HAZIHITAJIKI Kwa wenye mawazo ya kujiajiri.
Jiulize?unawezaje kuandaa business plan ukiwa nyumbani kwako tu?hakika haiwezekani.

Kaka mimi binafsi ni muhanga wa hili swala na limekuwa likiniumiza kichwa kiukweli hadi nikawa naji re-asses kwamba labda am not thinking straight ndio maana am stack....well hawa watu wapo tu na huwa wanasema hivyo kwa kusikia tu hawajawahi kuwa in that situation in practical.
Nakuheshimu kwa mawazo yako mkuu!!!
 
Back
Top Bottom