Son of Africa
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 233
- 31
Nimeusikia mfumo huo ila maana halisi sijaitambua, Mfumo wa Kisiasa wa Kikristo au Mfumo wa Uvuvi huko Mbegani? Kama ni wa kiserikali basi sijaelewa maana Viongozi wote Wakuu wa Nchi ni Muslims ni mfumo upi tena.... Ufafanuzi ni Rais, Makamu wa Rais, Rais ZNZ, Mawaziri, DC, RC nk. Mfumo unaouzungumia hapa ni upi. Mmejaribu kuwatenganisha Watanzania Kutoka katika Muungano mmechemsha, Mmejaribu kuwatenga kwa ukabila mmechemsha, sasa mnabeep kwa udini hamtawapata Watanzania. Hisiavzangu ninyi ni kundi la Mashoga chini ya mwamvuli wa dini ndo mnadai mfumo huu ni mfumo Kristo, wekeni bayana tuwasaidie kuliko kuichafua dininya Mwenyezi Mungu ISLAM kwa kusema uongo.