DHAMIRA IPI * ALIYONAYO
?
MZEE NKOSWE
*
*
*
TAMANI KUMFAHAMU
MZEE NKOSWE .
*
*
1. SUMBAWANGA NA HARAKATI ZA SIASA
-Sumbawanga ni miongoni mwa wilaya Kongwe ndani ya Taifa hili lenye utulivu,amani na mshikamano.Ni wilaya maarufu miongoni mwa wilaya nyingine katika nyanda za juu kusini, ambayo ni maaarufu kwa uzalishaji wa mazao ya chakula.
* * Kwa yeyote aliyeifahamu sumbawanga kabla ya mwaka 2010 ni lazima akubaliane nami kuwa huu ni mji ambao umekuwa kwa kasi na umepata maendeleo ya kasi ya ajabu hasa baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.Katika Nyanja nyingine mji huu pia umepata mabadiliko makubwa kama ifuatavyo:- *
* * * Kisiasa- Sumbawanga ni mji uliokuwa kisiasa kwa hali ya pekee hasa kuanzia mwaka 2010 wakati wa kampeni.SIASA ILIYOAMBATANA na *Udini ,Chuki ,fitna, iliota mizizi kwa kasi ndani ya mji huu hali iliyopelekea *baadhi ya waumini wa * dini ya RC (Rhoman Catholic)kutengwa *katika shughuli za ibaada na baadhi ya watu waliokumbwa *na adha hii ya udini *na kutengwa majina yao tunayo.Siasa za namna hii hazifai kuigwa wala kurudiwa hata kidogo kwani hata waasisi wa Taifa hili walizipinga vikali na kulaani siasa za namna hii.
* * *Mwalimu J.K Nyerere aliwahi kusema (Machi 3,1999) kabla ya kifo chake kua ..ukimuona sheikh au padre au mchungaji yeyote Yule anahubiri juu ya siasa ndani ya nyumba za ibada basi mjue mtu huyo amechanganyikiwa ..
Kwa maneno haya ya baba wa taifa ni wajibu wa kila mmoja hasa viongozi wa dini zote Tanzania kutafakari kwa *kina walifanya nini au walishiriki vipi katika masuala ya siasa ndani ya nyumba za ibaada na kisha wajiulize falsafa ya mwalimu J.K.Nyerere *inawabatiza wao kwa jina lipi na mfumo upi?
Si rahisi *kukataa na ni vigumu kupinga kwamba ni wazi kabisa vuguvugu la siasa za chuki na udini ziliasisiwa na baadhi ya watu kwa sababu zao na si sababu zenye maslahi ya kitaifa .
1.1 UPEKEE WA SIASA YA SUMBAWANGA MWAKA 2010
Sumbawanga ni mji ambao ulishuhudia kutokea kwa siasa ya aina yake ambayo kama haitachunguzwa kwa umakini itaishia kujenga jamii yenye ubaguzi ,chuki ,fitna *na zaidi yenye kuigawa *jamii katika misingi ya dini,na hii ni dhambi *kubwa isoweza kufutika .Wengi watajiuliza ni mambo gani yanayofanya jamii iamini kua Sumbawanga iligubikwa na siasa ya kipekee ,Yako mambo mengi lakini *Baadhi ya mambo mazito yaliyojitokeza ni haya yafuatayo:-
 .Kwaya za kanisa kutunga nyimbo kwa ajili ya kumnadi mgombea :hili ni jambo la *kusikitisha ambapo kwaya ya kanisa iliamua kutunga nyimbo na kumnadi mgombea (X) hii ni ishara tosha kuwa kanisa hilo lilidhamiria kufanya siasa.
 .Matumizi ya vifaa vya utangazaji kutoka kanisa maarufu :na kwa yote haya, kila mja anaemgopa mungu atakubaliana na hoja kwamba siasa na nyumba za ibaada ilishamiri.
*
* * -Ni mengi ya kuorodhesha lakini hayo yanatosha ukiachilia mbali mahubiri na harakati nyingine nyingi ,Haitakuwa ajabu sana kuona kuwa watu watayapinga haya na kusema hayakuwapo lakini mioyo yao na Mungu wanayemuamini atawasuta ,imefika wakati ambapo wananchi tuamke na tupige vita mfumo huu wa siasa usio na tija na unaotuondolea umoja wetu ,na tukiuvunja umoja huu tujue kuwa historia itatuhukumu.
Swali la Msingi
* * * * * *Ni nani Muasisi na ni wepi waasisi wa aina hii ya siasa ndani ya mji wa sumbawanga ?
Jibu
Siku zote wapo watu ambao wana asili na *mienendo ya namna hii na wanaopenda * * * *kuwafanya watu wakakosa utu kwa mwamvuli wa Harakati.
2.WANAHARAKATI NA HARAKATI ZAO SUMBAWANGA
-Kipindi cha hivi karibuni wamezuka watu wajiitao wana harakati *bila kufasiri zaidi dhamira ya dhati ya harakati zao .Neno au jina *mwanaharakati ni pana sana na kila harakati ina malengo yake .Kwa maana ya siasa Mwanaharakati -ni mtu alie na dhamira ya dhati ya kufanya mabadiliko chanya ndani ya jamii lakini akiwa amepambwa na Sifa safi za wanaharakati miongoni mwa sifa hizo ni:-
 Dhamira ya dhati ya mabadiliko
 Utamaduni wa Harakati Chanya katika maisha yake.
Ukichukua sifa hizo za mwanaharakati *na ukaanza kumvisha mwanaharakati mmoja mmoja ndani ya jimbo la Sumbawanga au Taifa utakuta walio wengi wamevaa viatu vikubwa kuliko miguu yao (oversize) na pia wanajivisha ngozi ya kondoo wakati miili yao na ngozi zao ni simba tena Hatari.
Miongoni mwa wanaharakati wasio na dhamira ya dhati na waliotumia Ngozi ya Kondoo kujificha asili yao ni mzee *maaarufu Mzee Nkoswe.
2.1. YA MZEE NKOSWE NA HARAKATI ZAKE
Mzee Nkoswe ni mzee maarufu na ni miongoni mwa wanaharakati waliojitokeza *na kuongoza kundi la watu wengine wanaojiita wanaharakati pasipo *kutambua dhamira ya dhati ya harakati zao. Uanaharakati wa mzee huyu MZEE NKOSWE Unaleta mashaka na wasiwasi *na anasababisha maswali mengi miongoni mwa wanaotafakari kwa kina *na kujiuliza ni ipi dhamira yake .
Nkoswe ni miongoni mwa wahubiri wanaohubiri juu ya yale wasiyoyatenda ,kukemea yale wanayoyatenda na kusahau ni wapi wametokea .Ukiitazama safari ya maisha ya mzee *huyu *utagundua *kua uanaharakati alionao sasa kupitia *CHADEMA ni uzushi ,uzandiki *na usaliti wa nafsi yake mwenyewena amesahau mengi anayoyaamini na kuyatenda.
UZANDIKI wa Mzee Nkoswe unathibitishwa na haya aliyoyayatenda na anayoendelea kuyatenda .Uozo na uzandiki wa Mzee Nkoswe ni pamoja na haya yafuatayo:-
*
*
 KUTAIFISHA NGOMBE ZILIZOCHANGWA KWAAJILIYA WAPIGANAJI WA VITA YA KAERA
Mzee huyu akiwa na nafasi serikalini (Mkuu wa wilaya) alihamasisha wananchi kuchanga ngombe ili ziwasilishwe kwa wapignaji wa vita ya Kagera ili kuwapa nguvu lakini alichokifanya Ngombe zote alizichukua na kufungua zizi lake binafsi. Sasa tunachojiuliza uanaharakati upi alionao kwa hujuma hii kwa jamii na Taifa zima alioufanya? Ni imani kuwa anakumbuka haya na historia inamhukumu.
 KUJILIMBIKIZIA VIWANJA
Wakati wa uongozi wake alihujumu jamii kwa kujilimbikizia viwanja vingi sana na kwaachia wananchi wakiwa na miliki ya viwanja vidogo vidogo *mithili ya vichochoro ,Hatimaye viwanja hivyo akaanza kuviuza na hadi sasa kipoa nachowauzia wazee wawili maarufu (majina yanahifadhiwa) ,Je ni dhamira ipi ya dhati aliyonayo?
 UONGOZI WAKE NI WA KIDIKITETA USIO NA MISINGI YA DEMOKRASIA
Moja ya falsafa yake kubwa ni *matumizi ya nguvu badala ya demokrasia na atakumbukwa sana kwa ukatili wake alioufanya wakati wa uhujumu uchumi kwa kuwakamata watu wasio na hatia kupitia ushawishi wake ndani ya kamati ya ulinzi na usalama .Sasa basi kwa uongozi wa namna hii ni Demokrasia gani anayoihubiri katika majukwaa ya Chadema ? Huu ni uzandiki na usaliti wa Nafsi yake.
 KUNGANGANIA MADARAKA
Siku zote popote alipo katika maisha yake Mzee Nkoswe ni mtu anaetaka Uongozi kila kukicha *bila uongozi hajaona ladha *ya maisha na pasipo na uongozi kwake ni sumu.Kwa kuthibitisha hili akiwa ndani ya CHADEMA tayari ameanza kuzunguka kwa ajili ya Kufungua Matawi,Swali la kujiuliza ni:
Je Nkoswe anafungua Matawi kama nani?
Na katiba ya chama *husika * inasemaje?
-Je ni wazi kuwa CHADEMA haina mfumo sahihi hadi kila anaekurupuka anakua ni kiongozi na kufanya shughuli za chama kama kiongozi?
Kwa dalili hii Dhamira ya dhati ya Nkoswe ni uongozi ndani ya Chama na si dhamira ya dhati ya mabadiliko.
 KUFANYA MAAMUZI SEHEMU ZA POMBE (BAR)
Katika uongozi wake alitumia sana mfumo wa matumizi ya sehemu za bar kutolea fikra au maamuzi ,Mzee huyu alikuwa akitumia bar iliyokua ikiitwa LANCASTER BAR huku akijistarehesha na mifumo kama hii si picha ya dhamira ya msingi ya mabadiliko bali ni uzandiki.
 .NI CHANZO CHA MIGOGORO NDANI YA CHAMA NA JAMII NZIMA
Mzandiki Huyu ni muasisi wa migogoro na uhasama katika mfumo wa siasa ,ikumbukwe kwamba yeye alikua chanzo cha migogogro kwa chama alichokua na ni muasisi wa majungu kwa kifupi ni kiongozi asiyethamini amani katika harakati zake ,na ni muasisi mkubwa wa siasa za husuda ,chuki ,uhasama *katika uchaguzi wa mwaka 2010.Ni imani yetu kubwa falsafa isemayo Jasiri Haachi Asiliitatimia na atakuwa mwenye kuendeleza mifarakano na huko alikoenda CHADEMA ijiandae kwa migogoro ,chuki na unganganizi wa madaraka.
* *Kwa sifa hizi alizonazo mtu huyu ,ni wazi kuwa dhamira yake na misimamo yake ni ya kuipotosha jamii na analenga kutumia mwamvuli wa uanaharakati kuyaficha mengi aliyonayo .
3. MWISHO
-Ni wajibu wa kila mwanajamii kuasisi umoja na mshikamano tulioachiwa na waasisi waTaifa hili lakini pia suala la uanahrakati liendane na sifa anuai zinazolenga kuleta mabadiliko ndani ya jamii bila kuharibu umoja wetu na mshikamano lakini pia Dhamira ya dhati ya Nafsi Zetu.Kwa *haya na mengi juu ya uzandiki wa Mzee Nkoswe Tunajiuliza *Ni Dhamira ipi Aliyonayo Mzee Nkoswe Sumbawanga?
*
?
MZEE NKOSWE
*
*
*
TAMANI KUMFAHAMU
MZEE NKOSWE .
*
*
1. SUMBAWANGA NA HARAKATI ZA SIASA
-Sumbawanga ni miongoni mwa wilaya Kongwe ndani ya Taifa hili lenye utulivu,amani na mshikamano.Ni wilaya maarufu miongoni mwa wilaya nyingine katika nyanda za juu kusini, ambayo ni maaarufu kwa uzalishaji wa mazao ya chakula.
* * Kwa yeyote aliyeifahamu sumbawanga kabla ya mwaka 2010 ni lazima akubaliane nami kuwa huu ni mji ambao umekuwa kwa kasi na umepata maendeleo ya kasi ya ajabu hasa baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.Katika Nyanja nyingine mji huu pia umepata mabadiliko makubwa kama ifuatavyo:- *
* * * Kisiasa- Sumbawanga ni mji uliokuwa kisiasa kwa hali ya pekee hasa kuanzia mwaka 2010 wakati wa kampeni.SIASA ILIYOAMBATANA na *Udini ,Chuki ,fitna, iliota mizizi kwa kasi ndani ya mji huu hali iliyopelekea *baadhi ya waumini wa * dini ya RC (Rhoman Catholic)kutengwa *katika shughuli za ibaada na baadhi ya watu waliokumbwa *na adha hii ya udini *na kutengwa majina yao tunayo.Siasa za namna hii hazifai kuigwa wala kurudiwa hata kidogo kwani hata waasisi wa Taifa hili walizipinga vikali na kulaani siasa za namna hii.
* * *Mwalimu J.K Nyerere aliwahi kusema (Machi 3,1999) kabla ya kifo chake kua ..ukimuona sheikh au padre au mchungaji yeyote Yule anahubiri juu ya siasa ndani ya nyumba za ibada basi mjue mtu huyo amechanganyikiwa ..
Kwa maneno haya ya baba wa taifa ni wajibu wa kila mmoja hasa viongozi wa dini zote Tanzania kutafakari kwa *kina walifanya nini au walishiriki vipi katika masuala ya siasa ndani ya nyumba za ibaada na kisha wajiulize falsafa ya mwalimu J.K.Nyerere *inawabatiza wao kwa jina lipi na mfumo upi?
Si rahisi *kukataa na ni vigumu kupinga kwamba ni wazi kabisa vuguvugu la siasa za chuki na udini ziliasisiwa na baadhi ya watu kwa sababu zao na si sababu zenye maslahi ya kitaifa .
1.1 UPEKEE WA SIASA YA SUMBAWANGA MWAKA 2010
Sumbawanga ni mji ambao ulishuhudia kutokea kwa siasa ya aina yake ambayo kama haitachunguzwa kwa umakini itaishia kujenga jamii yenye ubaguzi ,chuki ,fitna *na zaidi yenye kuigawa *jamii katika misingi ya dini,na hii ni dhambi *kubwa isoweza kufutika .Wengi watajiuliza ni mambo gani yanayofanya jamii iamini kua Sumbawanga iligubikwa na siasa ya kipekee ,Yako mambo mengi lakini *Baadhi ya mambo mazito yaliyojitokeza ni haya yafuatayo:-
 .Kwaya za kanisa kutunga nyimbo kwa ajili ya kumnadi mgombea :hili ni jambo la *kusikitisha ambapo kwaya ya kanisa iliamua kutunga nyimbo na kumnadi mgombea (X) hii ni ishara tosha kuwa kanisa hilo lilidhamiria kufanya siasa.
 .Matumizi ya vifaa vya utangazaji kutoka kanisa maarufu :na kwa yote haya, kila mja anaemgopa mungu atakubaliana na hoja kwamba siasa na nyumba za ibaada ilishamiri.
*
* * -Ni mengi ya kuorodhesha lakini hayo yanatosha ukiachilia mbali mahubiri na harakati nyingine nyingi ,Haitakuwa ajabu sana kuona kuwa watu watayapinga haya na kusema hayakuwapo lakini mioyo yao na Mungu wanayemuamini atawasuta ,imefika wakati ambapo wananchi tuamke na tupige vita mfumo huu wa siasa usio na tija na unaotuondolea umoja wetu ,na tukiuvunja umoja huu tujue kuwa historia itatuhukumu.
Swali la Msingi
* * * * * *Ni nani Muasisi na ni wepi waasisi wa aina hii ya siasa ndani ya mji wa sumbawanga ?
Jibu
Siku zote wapo watu ambao wana asili na *mienendo ya namna hii na wanaopenda * * * *kuwafanya watu wakakosa utu kwa mwamvuli wa Harakati.
2.WANAHARAKATI NA HARAKATI ZAO SUMBAWANGA
-Kipindi cha hivi karibuni wamezuka watu wajiitao wana harakati *bila kufasiri zaidi dhamira ya dhati ya harakati zao .Neno au jina *mwanaharakati ni pana sana na kila harakati ina malengo yake .Kwa maana ya siasa Mwanaharakati -ni mtu alie na dhamira ya dhati ya kufanya mabadiliko chanya ndani ya jamii lakini akiwa amepambwa na Sifa safi za wanaharakati miongoni mwa sifa hizo ni:-
 Dhamira ya dhati ya mabadiliko
 Utamaduni wa Harakati Chanya katika maisha yake.
Ukichukua sifa hizo za mwanaharakati *na ukaanza kumvisha mwanaharakati mmoja mmoja ndani ya jimbo la Sumbawanga au Taifa utakuta walio wengi wamevaa viatu vikubwa kuliko miguu yao (oversize) na pia wanajivisha ngozi ya kondoo wakati miili yao na ngozi zao ni simba tena Hatari.
Miongoni mwa wanaharakati wasio na dhamira ya dhati na waliotumia Ngozi ya Kondoo kujificha asili yao ni mzee *maaarufu Mzee Nkoswe.
2.1. YA MZEE NKOSWE NA HARAKATI ZAKE
Mzee Nkoswe ni mzee maarufu na ni miongoni mwa wanaharakati waliojitokeza *na kuongoza kundi la watu wengine wanaojiita wanaharakati pasipo *kutambua dhamira ya dhati ya harakati zao. Uanaharakati wa mzee huyu MZEE NKOSWE Unaleta mashaka na wasiwasi *na anasababisha maswali mengi miongoni mwa wanaotafakari kwa kina *na kujiuliza ni ipi dhamira yake .
Nkoswe ni miongoni mwa wahubiri wanaohubiri juu ya yale wasiyoyatenda ,kukemea yale wanayoyatenda na kusahau ni wapi wametokea .Ukiitazama safari ya maisha ya mzee *huyu *utagundua *kua uanaharakati alionao sasa kupitia *CHADEMA ni uzushi ,uzandiki *na usaliti wa nafsi yake mwenyewena amesahau mengi anayoyaamini na kuyatenda.
UZANDIKI wa Mzee Nkoswe unathibitishwa na haya aliyoyayatenda na anayoendelea kuyatenda .Uozo na uzandiki wa Mzee Nkoswe ni pamoja na haya yafuatayo:-
*
*
 KUTAIFISHA NGOMBE ZILIZOCHANGWA KWAAJILIYA WAPIGANAJI WA VITA YA KAERA
Mzee huyu akiwa na nafasi serikalini (Mkuu wa wilaya) alihamasisha wananchi kuchanga ngombe ili ziwasilishwe kwa wapignaji wa vita ya Kagera ili kuwapa nguvu lakini alichokifanya Ngombe zote alizichukua na kufungua zizi lake binafsi. Sasa tunachojiuliza uanaharakati upi alionao kwa hujuma hii kwa jamii na Taifa zima alioufanya? Ni imani kuwa anakumbuka haya na historia inamhukumu.
 KUJILIMBIKIZIA VIWANJA
Wakati wa uongozi wake alihujumu jamii kwa kujilimbikizia viwanja vingi sana na kwaachia wananchi wakiwa na miliki ya viwanja vidogo vidogo *mithili ya vichochoro ,Hatimaye viwanja hivyo akaanza kuviuza na hadi sasa kipoa nachowauzia wazee wawili maarufu (majina yanahifadhiwa) ,Je ni dhamira ipi ya dhati aliyonayo?
 UONGOZI WAKE NI WA KIDIKITETA USIO NA MISINGI YA DEMOKRASIA
Moja ya falsafa yake kubwa ni *matumizi ya nguvu badala ya demokrasia na atakumbukwa sana kwa ukatili wake alioufanya wakati wa uhujumu uchumi kwa kuwakamata watu wasio na hatia kupitia ushawishi wake ndani ya kamati ya ulinzi na usalama .Sasa basi kwa uongozi wa namna hii ni Demokrasia gani anayoihubiri katika majukwaa ya Chadema ? Huu ni uzandiki na usaliti wa Nafsi yake.
 KUNGANGANIA MADARAKA
Siku zote popote alipo katika maisha yake Mzee Nkoswe ni mtu anaetaka Uongozi kila kukicha *bila uongozi hajaona ladha *ya maisha na pasipo na uongozi kwake ni sumu.Kwa kuthibitisha hili akiwa ndani ya CHADEMA tayari ameanza kuzunguka kwa ajili ya Kufungua Matawi,Swali la kujiuliza ni:
Je Nkoswe anafungua Matawi kama nani?
Na katiba ya chama *husika * inasemaje?
-Je ni wazi kuwa CHADEMA haina mfumo sahihi hadi kila anaekurupuka anakua ni kiongozi na kufanya shughuli za chama kama kiongozi?
Kwa dalili hii Dhamira ya dhati ya Nkoswe ni uongozi ndani ya Chama na si dhamira ya dhati ya mabadiliko.
 KUFANYA MAAMUZI SEHEMU ZA POMBE (BAR)
Katika uongozi wake alitumia sana mfumo wa matumizi ya sehemu za bar kutolea fikra au maamuzi ,Mzee huyu alikuwa akitumia bar iliyokua ikiitwa LANCASTER BAR huku akijistarehesha na mifumo kama hii si picha ya dhamira ya msingi ya mabadiliko bali ni uzandiki.
 .NI CHANZO CHA MIGOGORO NDANI YA CHAMA NA JAMII NZIMA
Mzandiki Huyu ni muasisi wa migogoro na uhasama katika mfumo wa siasa ,ikumbukwe kwamba yeye alikua chanzo cha migogogro kwa chama alichokua na ni muasisi wa majungu kwa kifupi ni kiongozi asiyethamini amani katika harakati zake ,na ni muasisi mkubwa wa siasa za husuda ,chuki ,uhasama *katika uchaguzi wa mwaka 2010.Ni imani yetu kubwa falsafa isemayo Jasiri Haachi Asiliitatimia na atakuwa mwenye kuendeleza mifarakano na huko alikoenda CHADEMA ijiandae kwa migogoro ,chuki na unganganizi wa madaraka.
* *Kwa sifa hizi alizonazo mtu huyu ,ni wazi kuwa dhamira yake na misimamo yake ni ya kuipotosha jamii na analenga kutumia mwamvuli wa uanaharakati kuyaficha mengi aliyonayo .
3. MWISHO
-Ni wajibu wa kila mwanajamii kuasisi umoja na mshikamano tulioachiwa na waasisi waTaifa hili lakini pia suala la uanahrakati liendane na sifa anuai zinazolenga kuleta mabadiliko ndani ya jamii bila kuharibu umoja wetu na mshikamano lakini pia Dhamira ya dhati ya Nafsi Zetu.Kwa *haya na mengi juu ya uzandiki wa Mzee Nkoswe Tunajiuliza *Ni Dhamira ipi Aliyonayo Mzee Nkoswe Sumbawanga?
*