Dhambi ya Ufisadi yaanza kutafuna Habari corporation

Mnyoofu

Senior Member
Feb 24, 2008
153
49
Habari nilizozipata kupitia kingo za ukuta za kuaminika, viongozi waandamizi wa Habari Corporation wameanza kujiuzuru mmoja mmoja baada ya kushinikizwa na Rostam Aziz kumsafisha kupitia magazeti yake! Maanayake Habari Corporation imeshaanza safari ya kwenda makaburini kujizika!

Chanzo changu kinasema Viongozi hao wamekataa shinikizo hilo ili kuepuka kupingana na ethics na integrity ya profession zao!

Hii inatia moyo, ninawatia hima na moyo wa ujasiri viongozi hao ambao sitapenda kuyataja majina yao kwa wakati huu!

This is the best atittude transformation, maana tulipofika palikuwa ni pabaya mno. Hii conscience ni ya kizalendo ni muhimu ikapaliliwa wakati huu ili kuwa na taifa la watu wanaojiamini na sio kutumiwa tumiwa tu.

Nitawapakulia zaidi kadiri habari hizi zinavyojiri.
 
KWELI? wewe upo Birminghan...una data kuliko waliopo TZ? hizo news wires hatari....Ukishindwa kwa Hoja ukubaliane na matokeo...
Kama Kweli basi watakuwa ni wandishi wachache ktk waandishi tulionao zama hizi, ambapo waandishi wameweza kuwa mafisadi ili watajirike faster..wamiliki magari faster...oohh..ukiwakuta vijiweni wanasema huu ni wakati wao kutajirika...ila kuweni Makini yasije kuwakuta kama yalivyomkuta S.Kubenena!!!
 
Habari nilizozipata kupitia kingo za ukuta za kuaminika, viongozi waandamizi wa Habari Corporation wameanza kujiuzuru mmoja mmoja baada ya kushinikizwa na Rostam Aziz kumsafisha kupitia magazeti yake! Maanayake Habari Corporation imeshaanza safari ya kwenda makaburini kujizika!

Chanzo changu kinasema Viongozi hao wamekataa shinikizo hilo ili kuepuka kupingana na ethics na integrity ya profession zao!

Hii inatia moyo, ninawatia hima na moyo wa ujasiri viongozi hao ambao sitapenda kuyataja majina yao kwa wakati huu!

This is the best atittude transformation, maana tulipofika palikuwa ni pabaya mno. Hii conscience ni ya kizalendo ni muhimu ikapaliliwa wakati huu ili kuwa na taifa la watu wanaojiamini na sio kutumiwa tumiwa tu.

Nitawapakulia zaidi kadiri habari hizi zinavyojiri.

Mnyoofu, wataje tu tuwape hongera zao please...kama wamefanya jambo la pongezi, why unaficha majina? Unawanyima haki yao ati!
 
KWELI? wewe upo Birminghan...una data kuliko waliopo TZ? hizo news wires hatari....Ukishindwa kwa Hoja ukubaliane na matokeo...
Kama Kweli basi watakuwa ni wandishi wachache ktk waandishi tulionao zama hizi, ambapo waandishi wameweza kuwa mafisadi ili watajirike faster..wamiliki magari faster...oohh..ukiwakuta vijiweni wanasema huu ni wakati wao kutajirika...ila kuweni Makini yasije kuwakuta kama yalivyomkuta S.Kubenena!!!

Chuma, nadhani alipo mtu sio hoja, muhimu ni chanzo chake cha habari na hapa watu wana vyanzo mbali mbali haijalishi umbali. Hoja ni content ya alichosema, ninavoona ndivyo walivotakiwa wafanye ili kulinda maadili ya uandishi wa habari (kama yapo kwetu, hilo ni jingine)
 
Chuma, nadhani alipo mtu sio hoja, muhimu ni chanzo chake cha habari na hapa watu wana vyanzo mbali mbali haijalishi umbali. Hoja ni content ya alichosema, ninavoona ndivyo walivotakiwa wafanye ili kulinda maadili ya uandishi wa habari (kama yapo kwetu, hilo ni jingine)

Deo Balile alikuwa Tanzania Daima lakini alinunuliwa na akina Salva na wajinga wenzake kwenda Habari Corp je na yeye kakataa ? Maana alikuwa Arusha na Lowasa hadi Monduli .Hebu lete majina tuone .
 
Hizi habari ni za kweli kwani jana (jumatatu) kulikuwa na mkutano ambao kwa wale wanaokumbuka ilizungumzwa humu ni jinsi gani vyombo vya RA vilipangwa kutumika kuwasafisha kina EL na RA. Mambo yalienda kombo na kuwaudhi waandishi wengine waandamizi kufuatia ripoti ya Balile toka Monduli ambayo ilikuwa imejaribu kupamba kwa maneno kurudi kwa EL jimboni kwake.

Ripoti ile siyo tu iliwaudhi baadhi ya waandishi waandamizi lakini ilitengeneza ufa ambao nadhani sasa wameamua kuushughulikia..
 
Hizi habari ni za kweli kwani jana (jumatatu) kulikuwa na mkutano ambao kwa wale wanaokumbuka ilizungumzwa humu ni jinsi gani vyombo vya RA vilipangwa kutumika kuwasafisha kina EL na RA. Mambo yalienda kombo na kuwaudhi waandishi wengine waandamizi kufuatia ripoti ya Balile toka Monduli ambayo ilikuwa imejaribu kupamba kwa maneno kurudi kwa EL jimboni kwake.

Ripoti ile siyo tu iliwaudhi baadhi ya waandishi waandamizi lakini ilitengeneza ufa ambao nadhani sasa wameamua kuushughulikia..

There you are .Mara ya mwisho nimekutana na Balile hapa Arusha akiwa kanunuliwa laptop mpya na connection toka Vodacom ya kasi anatesa mjini Arusha anakaa hotel kali.Nikamuuliza vipi wewe akasema anatokea Bukoba lakini kasahau kwamba mimi nilikuwa kwenye msafara na tulikuwa sote bila yeye kujua kwa kuwa alikuwa ana hangaika na kupamba mambo ya Lowasa.This young man walifika bei kwake akiwa UK pale Hull University , baada ya kumpata wakataka kuhamia kwa Ngurumo lakini Ngurumo ni kichwa wakashindwa.Membe alimtuma Salva wakamwita Hotelini London akawajibu kwa mkato kwamba ana heshimu maandiko yake na anasimamia anayo yaamini .salva akawa anaendelea kupiga simu kwa Ngurumo lakini akawa hawezi kupeleka Ujumbe .

Wakapanga sasa kumnuanua Mwanakijiji kwa gharama kubwa nako wakaja wakakwama ila bado vyanzo vyangu vinasema wanajaibu bado .Balile was cheap and he is still cheap.
 
Imefika wakati waandishi wa habari waheshimu na kuthamini taaluma yao.
Hali hii ya kujirahisisha na kutimiza malengo ya wale wenye nia mbaya, kunaidhalilisha na kutafanya taaluma hii ipoteze imani kwa wananchi.
As they say, charity begins at home.
 
KWELI? wewe upo Birminghan...una data kuliko waliopo TZ? hizo news wires hatari....Ukishindwa kwa Hoja ukubaliane na matokeo...
Kama Kweli basi watakuwa ni wandishi wachache ktk waandishi tulionao zama hizi, ambapo waandishi wameweza kuwa mafisadi ili watajirike faster..wamiliki magari faster...oohh..ukiwakuta vijiweni wanasema huu ni wakati wao kutajirika...ila kuweni Makini yasije kuwakuta kama yalivyomkuta S.Kubenena!!!

Chuma.

Thread hii itakupa mwanga kumjua BALILE alivyokwenda kwa Membe inawezekana alishindwa kumtunza na sasa kaenda kwingine.
 
There you are .Mara ya mwisho nimekutana na Balile hapa Arusha akiwa kanunuliwa laptop mpya na connection toka Vodacom ya kasi anatesa mjini Arusha anakaa hotel kali.Nikamuuliza vipi wewe akasema anatokea Bukoba lakini kasahau kwamba mimi nilikuwa kwenye msafara na tulikuwa sote bila yeye kujua kwa kuwa alikuwa ana hangaika na kupamba mambo ya Lowasa.This young man walifika bei kwake akiwa UK pale Hull University , baada ya kumpata wakataka kuhamia kwa Ngurumo lakini Ngurumo ni kichwa wakashindwa.Membe alimtuma Salva wakamwita Hotelini London akawajibu kwa mkato kwamba ana heshimu maandiko yake na anasimamia anayo yaamini .salva akawa anaendelea kupiga simu kwa Ngurumo lakini akawa hawezi kupeleka Ujumbe.

..ukishanunua waandishi,what next? kununua wananchi au?
 
Imefika wakati waandishi wa habari waheshimu na kuthamini taaluma yao.
Hali hii ya kujirahisisha na kutimiza malengo ya wale wenye nia mbaya, kunaidhalilisha na kutafanya taaluma hii ipoteze imani kwa wananchi.
As they say, charity begins at home.

.."penye dhiki penyeza rupia"
 
Kumbe Balile mganga njaa tu. Si ajabu tunaye humu humu ndani akiwatetea mafisadi. Kazi kweli kweli.
 
KWELI? wewe upo Birminghan...una data kuliko waliopo TZ? hizo news wires hatari....Ukishindwa kwa Hoja ukubaliane na matokeo...
Kama Kweli basi watakuwa ni wandishi wachache ktk waandishi tulionao zama hizi, ambapo waandishi wameweza kuwa mafisadi ili watajirike faster..wamiliki magari faster...oohh..ukiwakuta vijiweni wanasema huu ni wakati wao kutajirika...ila kuweni Makini yasije kuwakuta kama yalivyomkuta S.Kubenena!!!

Dunia ni sawa na kijiji kaka
 
ni kweli kabisa,waliojiuzuru ni wakurugenzi wawili,ambao ni MULINGO na MWALIMU na mwingine aliyejiuzuru ni ATTLYO TAGALILLE.
 
Mulingo au Muhingo Rweyemamu?

aksante kwa kunisahihisha ,kubwa,ndiye huyohuyo!,na inasemekena BALILE alijiuzuru na akatimkia uganda,ila FISADI RA ALIMPIGIA SIMU ya kumwomba arudi na kuendelea na nafasi yake,BALILE alirudi j3 asubuhi na kukutana na kikao ambacho kilisababisha watu hao kujiuzuru
 
..taarifa ni mtandao kujeukana ..kila mmoja jk .muvi na muiran..wanajua umaarufu unapatikana kwa kununua waandishi!!!

duru zinasema kuna waandishi wamepewa milioni 40 na upande wa muiran na muvi....wakala,baadaye wakaenda kwa upande wa muungana wakawaambia wamelambishwa 40 wapambe upande wa pili,..napo wakalambishwa maradufu.....sasa nashindwa kuhusisha moja kwa moja kutimka kwa waandishi wa habari na hii sintoelewa..kujua kati ya hao waliokula kote kote ni wepi waliojiuzulu au waliobaki! but picha iko hivyo.......hadi kufikia hapo nachelea kuita yeyote kati ya hao kuwa shujaa@@@!!!!
 
Wakiwanunua waandishi wote wa habari sisi akina MADELA WA MADILU tutaanzisha vyombo vyetu vya habari.

Sasa hivii natumia less than 10% ya muda wangu wote kuchangia hapa JF. Hebu fikiria leo hii niamua kutumia 30% ya muda wangu wote kuandika na kutafuta habari kiongozi gani atasimama huko Tanzania?

Je nikiamua kuifanya kazi yangu ya pili je?

Kabla yauchaguzi wa 2010 tutakuwa na INVESTIGATIVE JOURNALIST wengi sana Tanzania, waaandishi ambao mara zote hutoa makala 2 au 3 kwa mwaka kwa sababu hutumia miezi zaidi ya 6 kutafiti na mara utafiti ukikamilika hutumia wiki 2 kuandika makala. Makala za naman hiyo siku zote ni zile zakutikisa na kulegeza vizingiti vyote vya vya watendaji wengi wa serikali.

Kwa asili sisi akina Madela Wa Madilu, si kwamba hatununuliki, la hasha, tunanunulika kwa gharama isiyoweza kumpa faida mnunuzi yeyote.

Lowassa akija taka kununua chombo changu cha Habari bei yake ni poa kabisa, Uhai wake tu. Akikubali nimtoe kafara yeye na mkewe nitakuwa tayari kuandika mazuri kuhusu yeye. Lakini itamsaidia nini wakati kesha yaonja mauti??
 
Kosa kubwa wanalofanya hao wanaomwaga fedha kununua waandishi ni kusahau ukweli kwamba unaponunua "huduma" bila risiti ni rahisi kwa muuzaji kukukana baadae kwamba hakutambui.Yaani hao mapaparazi wanaweza kula hizo fedha za bure then wakawageuka waliotoa fedha hizo bila hofu yoyote ya kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.
Tatizo la pili ni kuzidiana dau.Unamnunua mwandishi kwa milioni moja,kesho ananunuliwa na mtu mwingine kwa milioni 2.Mkizidi kupandishiana dau,huyo mwandishi anageuka kuwa useless kwani badala ya kusaka habari anajikuta yuko busy kusubiri "leo dau limepanda kiasi gani"
Anyway,wajinga ndio waliwao ila piga garagaza mamvi na muirani wake wamekwisha.
By the way,kuna gazeti jipya liitwalo TAIFA TANZANIA linaloongozwa na PRINCE BAGENDA....lilipaswa kutoka Ijumaa ya wiki hii lakini huenda likakwamishwa na kimeo cha moto hapo Co-op Buliding Lumumba ambako ofisi za gezeti hilo zimeteketea.Still unknow,owners ni nani lakini HISTORIA YA BAGENDA ( kama ilivyo kwa BALILE,SALVA RWEYEMAMU na GIDEON SHOO) inaonyesha kuwa ni miongoni mwa wale wanaoweza kuitwa JOURNALISTIC PROSTITUTE;Give them money,and they could easily deliver their parents' heads in mfuko wa rambo.Kwa vyovyote vile atakuwa ameshanunuliwa na mtu flani.

Msimu wa ulaji (election 2010) unawajia kwa kasi.
 
Back
Top Bottom