Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
Ni juzi tu masoud kipanya alichora katuni ikionyesha wapiga kura wamepanga msururu mrefu sana kwenda kupiga kura, na katika meza ya kupigia kura kulikuwa na dhaifu against dikteta, katuni inaonyesha watu wote wameamua kumpigia kura dikteta na watu walikoment kuwa heri ya kutawaliwa na dikteta kuliko dhaifu.
Mie nadhani mtu ukiwa mpole na mwenye huruma au tuseme mwenye kufikiria kwanza kabla hujaamua jambo watu watakuita dhaifu au mwoga.
Lakini ukiamua kila jambo kiimla basi utaitwa dikteta. na kama kweli Dr Ulimboka alipigwa na polisi au usalama wa taifa. basi hizo ndio mbinu za kidikteta za kutuliza wanaoisumbua serikali. Idd amini yeye alikuwa anapoteza tu maaskofu, madaktari nk. na watu walisema hiyo ndio wanataka.
SASA TUNALALAMIKA NINI?
Pia tusikurupuke tu kulaani serikali. mkumbuke wagonjwa wana ndugu waliopoteza maisha kutokana na hii migomo . na kuna watu wanaweza kufanya ushenzi wao kwa sababu wanajua lolote likitokea basi wananchi watasema ni serikali.
Tusubiri mwenyewe akipona atuambie nini kilitokea.
Na kama kweli ni serikali, basi haya ndio tuliyokuwa tunayataka.
UDIKTETA
Mie nadhani mtu ukiwa mpole na mwenye huruma au tuseme mwenye kufikiria kwanza kabla hujaamua jambo watu watakuita dhaifu au mwoga.
Lakini ukiamua kila jambo kiimla basi utaitwa dikteta. na kama kweli Dr Ulimboka alipigwa na polisi au usalama wa taifa. basi hizo ndio mbinu za kidikteta za kutuliza wanaoisumbua serikali. Idd amini yeye alikuwa anapoteza tu maaskofu, madaktari nk. na watu walisema hiyo ndio wanataka.
SASA TUNALALAMIKA NINI?
Pia tusikurupuke tu kulaani serikali. mkumbuke wagonjwa wana ndugu waliopoteza maisha kutokana na hii migomo . na kuna watu wanaweza kufanya ushenzi wao kwa sababu wanajua lolote likitokea basi wananchi watasema ni serikali.
Tusubiri mwenyewe akipona atuambie nini kilitokea.
Na kama kweli ni serikali, basi haya ndio tuliyokuwa tunayataka.
UDIKTETA