[h=2]
Dhaifu na liwalo na liwe watufikisha hapa[/h]
tangia tupate uhuru hatujapata serikali dhaifu kama hii ambayo rais hatoi tamko kutokana na hali tete alifanikiwa kwenda msibani kwa kanumba lakini steven ulimboka kwa rais ni kama kalazwa india nawaziri mkuu wake anatamka liwalo na liwe badala ya kutatua tatizi wanmwagia moto petrol kwa haya masuala lazima ccm ikubali kupokonywa serikali kiulaini kama wanafikiri ni utani wajaribu kuona kwenye uchaguzi mdogo wowote watakavyoangamizwa mungu ilinde tanzania