wana JF naomba kuwasilisha, kama hamjui the best paying government institution may be after TRA ni LAPF (local authorities pension fund) mana hata ukiwa ni mfanyakzi wa kawaida mshahara ni mnono.
DG= DIRECTOR GENERAL
wana JF naomba kuwasilisha, kama hamjui the best paying government institution may be after TRA ni LAPF (local authorities pension fund) mana hata ukiwa ni mfanyakzi wa kawaida mshahara ni mnono.
DG= DIRECTOR GENERAL
wewe umedata ! Mbona kamshahara mbuzi sana hako,! Watu wanachukuwa mpaka 20m,
Kaka inaelekea ukonyuma katika kufaham ivi unajua kama General Manager mgodi wa buzwagi analipwa mil70 kwa mwez na apo bado ajapata poshowakina nani?
wana JF naomba kuwasilisha, kama hamjui the best paying government institution may be after TRA ni LAPF (local authorities pension fund) mana hata ukiwa ni mfanyakzi wa kawaida mshahara ni mnono.
DG= DIRECTOR GENERAL
Baada ya kukosa ajira kilichobaki ni kufantasize mishahara ya watu teh teh teh ujana kazi kweli kweli!!
Mbona huo Mshahara unakaribia wa Walinzi wa BoT??? Best paying Best paying njoo boT uone watu wanavyokula bata.:whoo:Kaka inaelekea ukonyuma katika kufaham ivi unajua kama General Manager mgodi wa buzwagi analipwa mil70 kwa mwez na apo bado ajapata posho
:target:
Binadamu tuna matatizo!!!! Lipi jema lakini??? Serikali ikilipa mshahara mdogo tunaponda!!! Ooh!! serikali inalipa kiduchu!!!
Serkali ikilipa mshahara mnono ooh!! inalipa mshahara mkubwa!!! Sa unataka ifanyaje????
Kinacholalamikiwa si mshahara mkubwa kama mshahara mkubwa, Bali ni tofauti kubwa za mishahara zilizopo katika serikali yetu kwa watu wenye sifa zinazolingana, na hata baina ya watu wenye sifa tofauti. Tofauti ni kubwa mno and they are shocking. Wakati mtu mmoja analipwa 10Ml mwingine analipwa 120,000/= Tsh. Tumeona askari mgambo wa halmashauri ya Ilala wakiwa wamegoma juzi, wanalipwa laki na ishirini, hakuna extra duty, hakuna malipo ya hifadhi za jamii wala chochote. Sasa hiki ndicho kinacholalamikiwa hapa.