Deus F Mallya
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 705
- 440
Naona unaleta hadithi za kusadikika, nifuatilie nini wakati jambo lipo wazi huyo Mallya ndio alikuwa anamuendesha marehemu Chacha Wangwe, fuatilia wewe hujuie vizuri kiti cha Chacha Wangwe, kilikuwa kimeegeshwa tu hata mkanda nao ulikuwa aujafungwa sehemu yake...mie mpaka hiyo gari Toyota nimeona baada ya ajali, halafu unaleta habari za Sitta.
Nakushauri siku nyingine ukiamka usikimbilie KU LOG IN humu.. Bora ukaenda chooni kwanza,Ukaswaki,Ukanawa uso,ukapaka hata mafuta ya mgando usoni (Itakusaidia kunyoosha misuli midogo ya uso ambayo inashirikiana vilivyo na ubongo) baada ya hapo ni vyema ukachamba koo kwa kikombe cha chai au kahawa ndipo uingie humu!.. Vinginevyo watu watakuwa wanakucheka na kukuona kama Pungufu kichwani au dhaifu. (Huo nimekupa ushauri tu).