Mkubwa Jalala
Senior Member
- Mar 21, 2012
- 112
- 23
Kuna bwana mmoja aliambiwa mke wake yupo na mtu mwingine gest fulani chumba no. 7. Akakodi Taxi mpaka hapo gest akampa deleva wa Taxi hela yake na ya ziada na picha ili akamletee mkewe kwa namna yoyote. Baada ya deleva kuingia humo Gest akatoka na mwanamke akiwa anamvuta nywele mpaka kwenye gari. Yule bwana akasema huyu mbona siyo? Deleva akamwambia huyu ni mke wangu nishikie nikamfate mkeo.