Dereva wa Osama Bin Laden Ahukumiwa miezi sita jela!

jmushi1

Platinum Member
Nov 2, 2007
24,989
22,521
Taarifa ni kwamba dereva wa Bina laden amehukumiwa kwenda jela miaka mitano na nusu na kwasababu alishakaa Guantanamo Bay huko Cuba kwa miaka mitano...Basi anakuwa amebakiza kifungo cha miezi sita tu....Haijajulikana kama atakwenda nchi gani mara baada ya kutumikia kifungo chake hicho.
 
Back
Top Bottom