Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
Mke wa mtu sumu, mme wa mtu sio sumu sana...
duuuuh..
Mke wa mtu sumu, mme wa mtu sio sumu sana...
Nafikiri waliyotumia ni dawa nzuri!Huyu jamaa inaonekana walikuwa wanahasira nae kwa muda mrefu, wani inaonekana alikuwa akitumia pesa yake kutafuna wake za wenzie. Ndio maana jamaa walihamua kumaliza hasira zao kwa kumuondoa kabisa.
Mke wa mtu sumu, mme wa mtu sio sumu sana...
Kwetu sisi ma-ustaadhi huyo jamaa na kipenzi chake walistahili kupondwa mawe hadi kufa na siyo kucharangwa mapanga.