Mgengeli
Senior Member
- Sep 23, 2011
- 193
- 13
Kwenu wanaJF najitokeza kwenu nikitafuta kazi ya udereva,ninaendesha semi na puling na magari mengi isipokuwa bus,mara ya mwisho nilikuwa naendesha gari ktk kampuni ya HASSAN Transport,ninao wadhamini wa kuaminika,ninaishi Dsm kiwalani,No yangu 0717327062