Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Dereva akiwa mahakamani baada ya kugonga na kuua watu hamsini!
HAKIMU:Imekuwaje umeua watu wengi hivi?
DEREVA:Mwenyewe!
HAKIMU!Hebu elezea ilivyokuwa
DEREVA:Mimi nilikuwa naendesha gari,ghafla gari ikanishinda;upande mmoja wa barabara kulikuwa na mtu mmoja,upande wa
pili watu 51 wakiwa kwenye harusi!Wewe hakimu unahisi ningeangushia gari wapi?
HAKIMU:Kwa yule mtu mmoja!
DEREVA:Ndivyo nilivyofanya!Sema yule alijafanya mjanja akakimbilia upande wa pili wa barabara,nikamfuata hukohuko!
HAKIMU:Imekuwaje umeua watu wengi hivi?
DEREVA:Mwenyewe!
HAKIMU!Hebu elezea ilivyokuwa
DEREVA:Mimi nilikuwa naendesha gari,ghafla gari ikanishinda;upande mmoja wa barabara kulikuwa na mtu mmoja,upande wa
pili watu 51 wakiwa kwenye harusi!Wewe hakimu unahisi ningeangushia gari wapi?
HAKIMU:Kwa yule mtu mmoja!
DEREVA:Ndivyo nilivyofanya!Sema yule alijafanya mjanja akakimbilia upande wa pili wa barabara,nikamfuata hukohuko!